HOME HABARI ZILIZOGONGA VICHWA VYA HABARI MWAKA 2014 DUNIA NZIMA HIZI HAPA NA SULUHISHO LAKE ILI ZISIJIRUDIE 2015 FAHAMU KUHUSU ...
HOME HABARI ZILIZOGONGA VICHWA VYA HABARI MWAKA 2014 DUNIA NZIMA HIZI HAPA NA SULUHISHO LAKE ILI ZISIJIRUDIE 2015
FAHAMU KUHUSU 'BOKO HARAMU'
Kiongozi wa Boko Haram Abubakar Shekau
• Ilianza 2002
• Kiongozi wake ni Abubakar Shekau
• Takribani watu Milioni 3 wameathirika tangu ianze
• Ilipoanza ilikuwa na lengo la kupinga elimu ya Kimagharibi, elimu ya
wazungu - Boko Haram maana yake ni "Elimu ya kimagharibi ni
Marufuku/Haram " kwa lugha ya ki ‘Hausa’
• Mwaka 2009 ilianza rasmi mapigano ili kuunda nchi ya Kiislamu
• 2009: Mamia waliuwawa Boko Haram walipovamia kituo cha Polisi cha Maiduguri; Kiongozi wao Mohammed Yusuf alikamatwa na kuuliwa
• Dec 2010: Walilipua Jos na kuua watu 80; ililalamikiwa kwa shambulizi la mkesha wa mwaka mpya katika baraksi ya Abuja
• Aprili 2012: Shambulizxi la mauaji siku ya pasaka huko Kaduna; ofisi za gazeti la Thisday ilipigwa mabomu
• Mei 2013: Boko haramu waliingia fulu masinondo kwenye mji wa Bama na kufanya hari ya hatari itangazwe na serikali
• Sept 2013: Boko wavamia sekondari ya Kilimo ya Yobe naa kuua wanafunzi wa kiume 50
• Machi 2014: mgambo wa Boko walivamia kambi kadhaa za Wanajeshi huko Maiduguri
• Aprili 2014: Walalamikiwa kuuwa takribani atu 75 huko Abuja
• Aprili 2014: Wateka zaidi ya wasichana 200 kutoka kwenye shule iitwayo Chibok iliyopo Jimbo la Borno
• Serikali ya US imetangaza dau la USD 7M (Sh. 11.7 Bilioni) kwa kutoa
taharifa za kiongozi wa kundi hili. (NB Marekani ilitangaza dau la USD
25M kwa kutoa habari zitakazowezeshankukamatwa Sadam Hussein)
Abubakar Shekau ni kiongozi wa kundi hili la Wanamgambo wa Kiislamu
wanaojiita Boko Haramu, kundi la upinzani lililo nyuma ya mauaji upande
wa Kaskazini Mashariki mwa Nigeria kwa miaka 5 sasa.
Wafuasi wa kundi hili wanasemekana wamehamasishwa na haya za Korani
zinazosema “Yeyote asiye simamiwa na ufunuo wa Mungu ni kati ya wenye
dhambi”
Boko Haram inahamasisha mwenendo unaoitwa wa Kiislamu unaotambua
“Haramu” au Katazo kwa waislamu kushiriki katika shughuli za kisiasa au
shughuli za kijamiii zinazohusiana na utamaduni wa kimagharibi.
Hii inajumuisha na upigaji wa kura kwenye uchaguzi, uvaaji wa shati na
suruali au kupata elimu kwenye shule zinazofuta mfumo wa elimu wa
kimagharibi/elimu dunia (Secular education).
Boko Haramu wanatambua Serikali ya Nigeria kuwa inaendeshwa na wasioamini dini, pamoja na kuwa nchi ina rais mwislamu.
"Kundi hili jina lake hasa ni Jama'atu Ahlis Sunna Lidda'awati wal-Jihad
hiki ni kiharabu na maana yake ni “Watu wenye msimamo wa kueneza
mafundisho ya mitume na Jihad”
Mafunzo ya wafuasi
Ni wakazi wa Maiduguri mji uliopo Kaskazini Mashariki, sehemu ambayo
kuna makao makuu ya Jama'atu Ahlis Sunna Lidda'awati wal-Jihad ndio
walioibatiza na kuita Boko Haramu.
Kwa uhalisia neon Boko linamaanisha ‘isio halisi’ (fake) lakini neon
hili likaja kuhusishwa na elimu ya magharibi, na Haram inamaana
‘iliyozuiwa’ au kukatazwa.
Tangu enzi za Khalifa wa Sokoto aliyetawala sehemu ambazo kwa sasa ni
Kaskazini mwa Nigeria, Niger and Kusini mwa Cameroon, maeneo yaliyokuja
kuangukia kwenye utawala wa Ukoloni wa Waingereza mnamo 1903, kumekuwepo
na ukinzani kwenye baadhi ya sehemu kwa waislamu kupinga elimu ya
Magharibi.
Wanakataa kuwapeleka watoto wao kwenye shule za serikali “shule za
kimagharibi” tatizo lililojengwa na viongozi wao wanaoona elimu sio
kipaumbele.
Mazingira haya ndiyo yaliyomfanya kiongozi huyu mwenye uwezo wa
ushawishi na muislamu Mohammed Yusuph kuunda kundi la Boko Haram huko
Madiguri 2002. Ametengeneza taasisi kubwa ya kidini inayojumuisha
msikiti na shule za kiislamu.
Familia za Wasilamu wengi walio masikini kutoka sehemu mbalimbali za
Nigeria na nchi za jirani, wamewapeleka watoto wao kwenye shule hizi.
Boko haramu sio tu inatoa huduma za shule, bali lengo lake la msingi ni
kuwa na nchi ya kiislamu, na shule hizi zimekuwa sehemu za kutoa mafunzo
za jihadi.
Jeshi la Nigeria liliweza kuvamia makao makuuu ya Boko na kukamata wapiganaji wake na kumuua Mr Yusuf mwanzilishi wake.
Mwili wake ulionyeshwa kwenye TV ya taifa na maafisa wa jeshi wakatangaza kuwa Boko Haramu imeshasambaratishwa.
Wapiganaji hawa baadae wakajikusanya upya chini ya kiongozi wao wa sasa Abubakar Shekau na kuendelea na upinzani.
Mnamo 2010 US ikaitangaza kuwa taasisi ya Kigaidi, kutokana na hofu kuwa
imetengeneza mtandao na makundi mengine ya wanamgambo kama vile
al-Qaeda ili kufanya jihadi dunia mzima.
Boko Haramu staili yao mwanzoni ilikuwa ni kutumia pikipiki huku wakiwa
na bunduki, huku wakiua polisi, wanasiasa na yeyote anayepinga falsafa
zao ikiwa ni pamoja na waislamu kutoka kwenye makundi mengine na
wachungaji wa kikristo.
Kundi hili limefanya mashambulizi ya kuogofya kaskazini mwa Nigeria,
ikiwa ni pamoja na ulipuaji wa mabomu kwenye makanisa, kwenye mabasi,
kwenye sehemu za starehe, kambi za jeshi, polisi, makao ya UN na mji
mkuu wa Abuja.
Kutokana na ukuaji wa uhalifu huu wa Boko, rais Goodluck Jonathan
akatangaza hali ya hatari mei 2013 katika majimbo matatu ya kaskazini
mwa Nigeria huko Borno, Yobe na Adamawa, sehemu ambazo Boko wananguvu.
Boko inapata zaidi wapiganaji wake kutoka kabila la Kanuri, ambalo ni
kubwa kwenye majimbo haya 3. Wakanuri wana alama maalumu ya mabaka kama
wanavyofanya wamakonde, na kutokana na matamshi yao ya lugha ya ki hausa
inakuwa rahisi kutambulika na wanigeria.
Kutokana na hali hii wanamgambo wamekuwa wakifanya shughuli zao maeneo
ya kaskazini mashariki kama eneo lao la kujidai na eneo wanalolijua
vizuri.
Umaskini wa Kutupwa
Upelekaji wa majeshi kuwakabili Boko Haram umewafukuza na kuiacha
Maduguri, ngome yao kuu ya mjini na wameelekea kwenye msitu wa Sambisa
msitu uliopo kwenye mpaka kati ya Nigeria na Cameroon.
Wakiwa kule makundi ya Boko yameweza kuanzisha mashambulizi ya halaiki
kwenye vijiji, uharibifu wa mali, wamechoma moto mali na nyumba kama
njia yao ya kuwatahadharisha watu wa vijijini kutoshirikiana na majeshi
ya serikali kama ambavyo wananchi wa Miduguri walivyofanya.
Boko Haramu pia ilifanya harakati zake za kuonyesha kutokukubaliana na
elimu ya kimagharibi, elimu ambayo wanaamini imevunja maadili ya
kiislamu hasa kwa watoto wa kike kwa kuvamia shule mbili za bweni za
wasichana, mwezi wa 3 huko Yobe na mwezi wa 4 huko Chibok.
Boko wameteka zaidi ya wasichana 200 wa shule huko Chibok na wamedaia
kuwa watawafanyya watumwa na kuwaoa, kama rejea ya imani ya Kiislamu ya
kale inayoamini kuwa mwanamke aliyekamatwa kwenye mapigano ni sehemu ya
vitu vya kujilipa kwenye vita ‘’war booty’’
Boko walileta tishio kama hili mei 2013, walipotoa kideo inayosema
tumechukua wanawake na watoto ikiwa ni pamoja na wasichana ili kujibu
kitendo cha kuchukuliwa wake na watoto wa wenzetu. Hili lilisuluhishwa
kwa kubadilishana wafungwa kwa pande zote na wanawake na watotoi
wakaachiwa.
Wakati huohuo Boko Haram wameendelea na kampeni yao ya kushambulia
maeneo ya mijini, kwa kulenga mji mkuu hapo Aprili kwa kusababisha
mauaji ya watu 70 kwenye mlipuko uliotokea karibu na sehemu ya kupaki
magari, tukio lingine lilitokea mei 2 watu 19 walipoteza maisha.
Wanagirea walio ripotiwa kupoteza maisha kuanzia Sep 2010 mpaka Apr 2013
Hii inaonyesha ni namna gani Boko Haram walivyokuwa na maelfu ya majeshi
ya kupigana, lakini pia inaonyesha ni kwa kiasi gani ilivyo mahiri kwa
utengenezaji wa mabomu.
Wachambuzi wa mambo wanasema kuwa Nigeria ya kaskazini ina historia ya
kuzalisha makundi ya wanamgambo wa kiislamu, Boko Haramu imeonekana
kwenda mbele zaidi na kuwa kinara wa kuwazalisha na imedhibitisha kuwa
kikundi hatari zaidi kikija na ajenda yake ya Jihad vita takatifu ya
kiislamu kuwapinga wasiokuwa waislamu.
Tishio hili linaweza kupungua sana na kuondoka endapo serikali ya
Nigeria itaweza kupunguza umaskini uliokithiri kwenye mikoa mbalimbali
na kujenga mfumo wa elimu unaokubalika na jumuiya ya kiislamu,
wachambuzi walisema.
Boko Haram
Kiongozi wa Boko Haram: Abubakar Muhammad Shekau
Abubakar kiongozi wa Boko anasemekana kuwa ni mtu aliuyejitenga
asiyekuwa na uoga, mtu asiyefahamika vizuri, mtu aiyetabirika, sehemu
moja yeye ni mwenye elimu ya dini na sehemju nyingine ni mhuni.
Tangu alipochukua uongozi wa Boko Haram amekuwa na siasa kali sana na
amekuwa akiratibu mauaji mengi zaidi tofauti na kabla ya kuwa kiongozi.
Huenda moja ya mambo aliyoyafanya ya kushtusha ni pale alipotoa video
akicheka na alipodhibitisha kuhusika na utekaji wa wasichana wa shule
zaidi ya 200, akitoa ahadi ya kuwauza.
"Nimewateka wasichana wenu, nitawauza sokoni kwa msaada wa Allah, nitawauza na kuwaoa."
Boko Haram wamevamia shule
Kwa uoendo mkubwa anaitwa na wafuasi wake kama Imam au Kiongozi.
Abubakar Muhammad Shekau amezaliwa kijiji cha Shekau kilichopo Kaskazini
mashariki mwa Nigeria katika Jimbo la Yobe.
Baadhi wanasema ana umri wa miaka 30 na kitu hivi, wengine wanasema yupo
kwenye maiaka 40 ya katikati, kutokuwa na uhakika wa umri unaiongeza
sintofahamu iliyomzunguka.
Boko Haram wavamia raia na Wanajeshi wa Serikali
Mwanafunzi wa dini ya siasa kali
Shekau aliwahi kutangazwa kuwa ameuwawa kwa majeshi ya usalama 2009.
Mwaka mmoja baada ya tukio hili alionekana tena kwenye video kama
kiongozi mpya wa Boko Haram. Malalamiko ya aina hii hii yaliwahi kutokea
tena kuwa amefariki na ikaja kudhibitishwa baadae kuwa siyo kweli.
Mwanzilishi wa Boko, Muhammad Yusuf, alifariki akiwa ameshikiliwa na
polisi Jul 2009 na wengi waliuwawa kwenye operesheni ya kuwatafuta,
operesheni ambayo wengi wanalaumu inafanya kikundi hiki kuleta fujo
zaidi. Tangu kipindi hicho Shekau hajawahi kuonekana kwenye
hadhara.Badala yake ni picha na video zimekuwa zikitolewa mara kwa mara
kupitia mtandaoni.
“Nina jisikia vizuri kuua kila mtu
Niliyeagizwa kufanya hivyo na Mungu”
Abubakar Shekau Boko Haram leader
"Nina penda kuwa watu kama ninavopenda kuua kuku na kondoo” alisema
kwenye video aliyoitoa baada ya mauaji waliyoyafanya Jan 2012 kwa kuua
watu 180 huko Kano, mji mkubwa kwa kaskazini mwa Nigeria
Shekau anafaahaamu vizuri lugha ya Kanuri, pia anafahaamu Ki Hausa na Ki
Arabu. Anafahamu pia kuweka kiingereza kwenye kanda za video
wanazozitoa kwa waandishi wa habari.
“Ni mara chache sana anaongea,
Haogopi kitu”
Wakati Muhammad Yusuf anafariki, inasemekana Shekau alioa mmoja ya wake
zake 4 na karidhi watoto, huenda kwa mujibu wa vyanzo hii ilifanyika ili
kulinda ukaribu na kufanya utakaso.
Kundi la Boko inasemekana halina uongozi wa sehemu moja (decentralize
structure) na Shekau hawasiliani na askari wa miguu mojakwamoja bali
kupitia viongozi wachache wwaliochaguliwa, hata hivyo hukutana kwa
nadra.
" Walio wengi wanaofahamika kama viongozi katika makundi tofautitofauti hawana mawasiliano naye ya mojakwamoja”
Shekau hana mvuto na wala hana umahiri wa kuongea kama kiongozi
aliyepita, hata hivyo anasimamia itikadi zake vizuri na ni katili, hii
imesemwa na wanaofanya utafiti kuhusu kundi hili.
Al shabaab ni nani hasa?
Wapiganaji wa Al Shabaab
Kundi
la wapiganaji wa kisomali la al-Shabaab,limevamia jumba la kifahari
lenye maduka na mikahawa nchini Kenya. Al Shabaab lenya mizizi yake
nchini Somalia, limeweza kuondolewa kutoka miji mikubwa ya Somalia
ikiwemo Mogadishu na sehemu zengine za Somalia , ingawa bado linasalia
kuwa tisho kubwa kwa kanda nzima.
Al Shabaab ni nani?
Jina Al-Shabab linamaanisha Kijana
kwa lugha ya kiarabu. Kundi hilo liliibuka kama tawi la vijana la
muungano wa mahakama za kiislmau ambao baadaye ulivunjika mwaka 2006,
wakati ilipopigana na wanajeshi wa Ethiopia waliokuwa wameingia nchini
Somalia kuunga mkono serikali iliyokuwa dhaifu. Kuna taarifa chungu nzima kuhusu wapiganaji wa kiisilamu wanaokwenda Somalia kupigania Al Shabaab. Kundi
hilo limeweka sheria kali za kiisilamu katika maeneo ambayo linadhibiti
ikiwemo kupigwa kwa mawe hadi kufa wanawake wanaodaiwa kufanya
uasherati pamoja na kuwakata wezi mikono.
Je Al Shabaab linadhibiti sehemu gani ya Somalia?
Ingawa kundi hilo limepoteza udhibiti, wa miji mikubwa, bado linakita mizizi katika maeneo ya mashinani. Lililazimika
kuondoka katika mji mkuu Mogadishu, mwezi Agosti mwaka 2011 na pia
kuondoka katika mji wa bandarini wa Kismayo mwezi Septemba mwaka 2012. Kismayo
ulikuwa mji muhimu kwa kundi hilo, ambao ulikuwa unawezesha bidhaa
kuwafikia wapiganaji wa kundi hilo pamoja na kuwatoza watu ushuru kwa
shughuli zao
.
Hizi ni silaha za Al Shabaab walizonasa wanajeshi wa AU
Muungano wa Afrika, ambao
unaunga mkono juhudi za majeshi ya serikali, ulisherehekea ushindi huo
ingawa al-Shabab hunfanya mashambulizi ya mara kwa mara ya kujitoa
mhanga mjini Mogadishu na kwingineko. Wadadisi wanaamini kuwa
al-Shabab limeanza kufanya mashambulizi ya kuvizia baada ya kushindwa na
majeshi ya Muungano wa Afrika wanaotumia nguvu dhidi yao. Lakini linakabiliwa na tisho kubwa kutoka kwa wanajeshi wa Kenya walianza hatarakti zao dhidi ya kundi hilo kuanzia mwaka 2011. Kenya
ilituhumu wapiganaji wa al-Shabab kwa kuwateka nyara wanajeshi wake
pamoja na watalii na sasa wamekuwa katika msitari wa mbele kupambana na
kundi hilo la kigaidi. Wakati huo, wanajeshi wa Ethiopia waliweza kukabiliana na wapiganaji hao na kudhibiti miji ya Beledweyne na Baidoa.
Nani kiongozi wa al-Shabab?
Ahmed Abdi Godane ndiye kiongozi wa kundi hilo. Anajulikana kama Mukhtar Abu Zubair, na anatoka katika jimbo la Somaliland. Kumekuwa
na taarifa za mgawanyiko katika kundi hilo, ambazo hata hivyo
zinapingwa vikali na kundi lenyewe. Inaarifiwa kuwa uongozi wake
unapingwa, na wanachama wanaotoka maeneo ya Kusini na ambao ni wengi
katika kundi hilo. Inakisiwa idadi yao ni kati ya wanajeshi 7,000 na
9,000. Bwana Godane huwa haonekani hadharani . Mtangulizi wake
Moalim Aden Hashi Ayro, aliuawa katika shambulizi lililofanywa na
Marekani mwaka 2008.
Nini uhusiano wa kimataifa wa kundi hilo?
Al Shabaab wakifanya mashambulizi mjini Mogadishu
Al-Shabab lilijiunga na
al-Qaeda mwezi Februari mwaka 2012. Katika ujumbe wa Video, kiongozi wa
al-Shabab Ahmed Abdi Godane alisema anaahidi kuunga mkono kingozi wa
al-Qaeda Ayman al-Zawahiri. Makundi hayo mawili yamekuwa yakifanya
kazi kwa pamoja, na raia wa kigeni wamekuwa wakiunga mkono kundi hilo,
na hata kuwasaidia katika harakati zao za mapigano. Mwaka jana
maafisa wa al-Shabab waliambatana na mtu aliyesema ni mwanachama wa
al-Qaeda na kumtambua kuwa raia wa Marekani Abu Abdulla Almuhajir
alipokuwa anatoa msaada wa chakula kwa waathiriwa wa njaa. Maafisa
nchini Marekani wanaamini kuwa wapiganaji wa Al Qaeeda ambao
hawajahusina sana na mashambulizi nchini Afghanistan na Pakistan
kufuatia mauaji ya kiongozi wao,Osama bin Laden, wapiganaji wake wengi
wanakwenda kutafuta hifadhi nchini Somalia.
Lampedusa; kivutio hatari kwa wahamiaji haramu
Wasafiri wakiingia Kisiwa cha Lampedusa, Italia. Usafiri wa aina hii
ndio hutumiwa na wahamiaji haramu wenye nia ya kuingia Ulaya. Picha ya
Mtandao.
Vijana wengi hutamani kwenda majuu bila kujua kwamba maisha ya huko si ya kutamani kama huna kazi ya kufanya.Matokeo yake wengi hupata matatizo na wengine kutoswa baharini.
Lampedusa ni kisiwa kidogo cha Italia katika Bahari ya Mediterranean,
kikiwa na eneo la kilomita 21 za mraba na wakazi 5,000, hakiko mbali
sana na mwambao wa Afrika Kaskazini.
Katika miaka ya karibuni, Lampedusa pamekuwa pahala maarufu ambako
Waafrika wanakimbilia. Mwaka huu pekee wameshawasili zaidi ya watu
30,000, lakini maelfu wengine wamezama baharini wakiwa katika safari
hiyo ya hatari.
Wakimbizi hao wanaamini kwamba wakitia mguu Lampedusa ina maana
wameshaukata, kama wanavosema vijana wa siku hizi au “wameshafika mtoni”
– Ulaya, wanayoifikiria kuwa ni peponi.
Mwanzoni mwa mwezi huu zaidi ya wakimbizi 300 walizama ndani ya boti iliyosheheni zaidi ya abiria 500 wakitoka Misrata, Libya.
Siku kumi baadaye wengine 26 walizama katika boti nyingine karibu na
Kisiwa cha Malta wakitaka pia kufika Ulaya. Ni maafa ya kusikitisha na
katika nchi za Umoja wa Ulaya kuna watu wengi wanaotaka iweko siasa mpya
kuelekea wakimbizi, siasa ya kiutu.
Kiini cha tatizo
Lampedusa, kwa sura nyingine ni alama ya mizozo ambayo kiini chake ni
serikali zinazotawala vibaya na kutowajali raia katika nchi kadhaa za
Afrika
Wengi wa wakimbizi wa Kiafrika wanaovuka Bahari ya Mediterrenean na
kwenda Italia wanatoka Somalia, Eritrea na Ethiopia. Utawala wa
kidikteta wa Eritrea unawatisha na hauwapi nafasi raia kupumua.
Huko Somalia zaidi ya miaka 20 hakujakuweko na serikali ya maana.
Wakimbizi wa kutoka nchi nyingine za Afrika wanatafuta hifadhi Ulaya
wakichoshwa na hali duni ya kuwa na mustakbali bora wa maisha. Wanahisi
ni bora wajichovye na waelekee hata kusikojulikana, licha ya hatari
nyingi zilioko mbele yao.
Utaona familia nyingi za Kiafrika huchanga fedha angalau mmoja wa vijana
wao ajitose na asafiri hadi Ulaya kama mkimbizi na huko akatafute
maisha. Matarajio ni kwamba pindi kijana huyo atafanikiwa basi huenda
atapeleka nyumbani fedha na kuwafaidisha jamaa zake.
Hata hivyo, kwa vijana wengi mambo hayaendi kama walivyoyatazamia. Fedha
walizochangiwa humalizikia katika mikono ya walanguzi makatili ambao ni
mawakala wa safari hizo za magendo.
Wengi wa vijana hao hufa njiani katika Jangwa la Sahara. Wale walio na
bahati ya kusonga mbele zaidi makaburi yao huwa katika Bahari ya
Mediterrenean na wachache sana, hao wanaoitwa wamebahatika, wanaangukia
katika maisha dhalili barani Ulaya.
Vilevile vifo vingi vya safari za baharini kuelekea Lampedusa
vinasababishwa na siasa ya Umoja wa Ulaya ambayo imeifunga mipaka ya
bara hilo isipitike kiasi kwamba hata haistahamilii utu.
Biashara ya kusafirisha watu kwa magendo inakithiri kwa vile siasa yenyewe ya Umoja wa Ulaya haiwaheshimu wakimbizi.
Bahari ya Mediterrenean imegeuka kuwa ni kaburi la halaiki kwa wakimbizi
wa Kiafrika wanaojaribu kuivuka kutaka kuingia Ulaya. Kwa hakika
kinachotokea katika bahari hiyo ni ‘mauaji’, huku wanasiasa wa Ulaya na
Afrika wakitumbua macho bila ya kuchukua hatua.
Hisia za wanasiasa
Kwa wanasiasa wa Ulaya la muhimu zaidi kwao ni kuwazuia Waafrika
wasiingie Ulaya kuliko kuyanusuru maisha ya watu wanaozama baharini.
Siasa hiyo inachukulia vifo vya wakimbizi kama ni majaliwa yao, jambo
ambalo mtu hawezi, hataki na hahitaji kulibadili. Sababu? Wanasiasa wa
Ulaya wanahofia kwamba msaada utakaotolewa kwa wakimbizi baharini
utaweza kusababisha wakimbizi zaidi wamiminikie Ulaya.
Hiyo ndiyo maana hata wavuvi wa Italia wanakatazwa kutoa msaada kwa boti
za wakimbizi zilizo katika shida. Kwa hivyo, machozi yanayowatoka
wanasiasa wa Ulaya kutokana na maafa yaliotokea karibu na Lampedusa hivi
karibuni ni ya mamba na hotuba zao za majonzi ni bla bla tu.
Boti zilizotumwa kuwaokoa wakimbizi waliokuwa wanazama baharini ili
ziwalete nchi kavu Lampedusa zilirejea zikiwa karibu tupu, kwani mamia
ya wakimbizi hao walikuwa wameshajitupa majini wakitapia maisha na
kuzama.
Kwa nini waliachwa?
Boti za uokozi zilirejea tupu kwa vile mkakati wa siasa ya Ulaya
kuelekea wakimbizi una kaulimbiu “Jahazi ya Ulaya imejaa“, ikimaanisha
nchi za Umoja wa Ulaya zimefurika wakimbizi, hazitaki kuchukua wengine
zaidi.
Kaulimbiu hiyo inaweza kutafsiriwa kwa maneno yenye kuashiria kwamba
neema ya Ulaya ibakie Ulaya tu na umaskini wa Afrika ubakie huko huko,
nje ya mipaka ya Ulaya. Aliye ndani ndani, na aliye nje nje.
Wakimbizi ni mabalozi wa sura iliyoko Afrika – njaa, utawala usiofuata
sheria na kukandamizwa haki za binadamu. Lakini Ulaya haipendi kuwapokea
watu hao. Mipaka ya Ulaya inazidi kufungwa, hata sisimizi kutoka Afrika
asipenye. Wanasiasa wa Ulaya huzungumzia juu ya uhamiaji „haramu“,
lakini wakati gani binadamu anakuwa haramu? Je, pale anapojaribu
kujinusuru? Je, mtu huyo ni haramu pale anapolazimika kumhonga mlanguzi
amsafirishe hadi Ulaya wakati ambapo hamna hata kidogo njia nyingine
yeyote ya kisheria kufikia kule ambako mtu huyo anafikiria angalau
atapata afueni kidogo ya maisha?
Siasa ya kubana uhamiaji wa haramu inaweza tu kufaulu pale upenyu mdogo
utafunguliwa kwa uhamiaji wa halali. Ikiwa nchi za Ulaya zinafunga
milango yao kabisa kwa wahamiaji kutoka Afrika na ikiwa hakuna hatua
endelevu zinachukuliwa kuboresha hali za nchi wanakotokea wakimbizi hao,
basi biashara ya magendo ya kusafirisha watu kutoka Afrika kwenda Ulaya
itazidi kushamiri. Matokeo yake ni watu wengi zaidi kufa katika Bahari
ya Mediterranean, huku tukibakia tunalalama tu.
Pia tusisahau kwamba hakuna serikali yeyote ya Ulaya inathubutu
kutangaza kwamba milango ya nchi yake itakuwa wazi zaidi na zaidi
kuwapokea wakimbizi. Ikifanya hivyo wananchi wataiondosha madarakani
serikali hiyo siku ya pili.
Angalau hapa Ulaya wanasiasa na raia wanazungumzia, huku wakitokwa na
machozi ya mamba na wanalaumiana juu ya maafa yanayowasibu wakimbizi
kutoka Afrika. Lakini, kwa mshangao, katika mkutano wa kilele wa
karibuni wa Umoja wa Afrika, (AU) huko Addis Ababa suala hilo hata
halijagusiwa. Kama vile wale waliokufa katika pwani ya Lampedusa
walikuwa ni nzi.
Levi Eshkol, David Ben-Gurion na Golder Meir hao wote ni mawaziri wakuu wa zamani wa Israel.
Tangu
Disemba 27 hadi 18 Januari 2009 vyombo vya habari duniani vilitawaliwa
na taarifa za mapigano kati ya Israel na kundi la Hamas la Palestina.
Katika vita hiyo takriban wapalestina 1300 na Waisraeli 13 walipoteza
maisha. Dunia imegawanyika huku upande mmoja ukiunga mkono kundi
la Hamas na wengine wakiiunga Israel. Ili kujua uhalisia wa mapigano
hayo tazama historia ya mataifa hayo. Madai ya Waisraeli
yanaanzia katika misingi ya kidini ambapo katika Biblia (kitabu
kitakatifu kwa Wakristo na Wayahudi), kitabu cha kwanza cha nabii Musa
kiitwacho Mwanzo sura ya 12 inaonesha jinsi Ibrahim anavyoitwa na
mwenyezi Mungu ili kumtumikia. Eneo hilo la Palestina (zamani
lilijulikana kama Kaanani)ndiyo chimbuko la dini kuu tatu zenye msingi
wa Ibrahim ambazo ni dini ya Wayahudi, Ukristo na baadaye Uislam. Dini
ya wayahudi yenye misingi ya Biblia Agano la Kale likianza na vitabu
vitano vya Musa (Mwanzo, Kutoka, Hesabu, Mambo ya Walawi na Kumbukumbu
la torati), Ukristo ukianza misingi kwenye Agano la Kale hadi Agano
Jipya na Uislam ukishika vitabu vinne Tourat ya nabii Musa (a.s), Zabur
ya nabii Dawood (a.s), Injili ya Issa bin Mariam (a.s.) au Yesu na Quran
ya Muhamad (s.a.w) Ibrahim mwenyeji wa Uru wa Ulkadayo
(Mesopotamia) leo Iraq wa kabila la Waebrania anahama kutoka Iraq na
kwenda Haran Syria na baadaye kutelemkia Kaanani (Uyahudi) ambapo
Mwenyezi Mungu anamtokea katika njozi na kumwapia Ibrahimu kuwa ardhi
yote hiyo amepewa yeye na uzao wake na kuahidiwa baraka yaani kubarikiwa
kwa kila atakaye mbariki na kwamba jamaa zote za dunia zitajibarikia. Pamoja
na ahadi hiyo Mungu anamwambia nabii Ibrahimu kuwa uzao wake utakwenda
utumwani Misri kwa miaka mia nne hadi kizazi cha nne ndipo
watakapookolewa na kupandishwa Kaanani (Palestine). Mizizi ya
ugomvi huo inaanzia karne ya 19 wakati wa vuguvugu la utaifa la Uzayuni
na Uarabu (Arab nationalism) vuguvugu la wayahudi (Jewish National
Movement) lilianzishwa kuwa la kisiasa mwaka 1892 dhidi ya Urusi na
Ulaya. Mkakati ulianza kwa wayahudi wote popote walipo kurejea katika
nchi ya Palestina ambapo walipachukulia kuwa ndiyo nchi yao ya asili. Katika kutimiza azma yao World Zionist Organization na Jewish National Fund walihimiza uhamiaji na kufadhili ununuzi wa ardhi chini ya utawala wa Ottoman na Uingereza katika Palestina. Mgongano huo ukianzishwa na Uingereza kwa kile kilichafahamika kama Hussein-McMahon Correspondence na Balfour Declaration of 1917, na kufuatiwa na milipuko ya mapigano ya mara kwa mara kati ya Wayahudi na Waarabu katika eneo la Palestina. Hakuna
asiyekumbuka jinsi kiongozi wa Wanazi Adolf Hiltler alivyowafanyia
wayahudi kwa maangamizi makuu ya Nazi Holocaust, ikiwa ni jitihada ya
kulifuta taifa hilo.. Azimio la Umoja wa Mataifa la mwaka 1947
liliridhia kugawanywa kwa nchi ya Palestina kwa wayahudi na wapalestina
ambapo wayahudi walikubali na wapalestina wakiungwa mkono na Umoja wa
Nchi za kiarabu wakikataa na kusababisha kuzuka vita baina yao. Vita hivyo viliwafanya wapalestina kuhama na kukimbilia nchi jirani za kiarabu wakiwa wakimbizi yaani Al-Naqba. Israeli
ilijitangazia uhuru wake Mei 14 mwaka 1948 kufuatia uhuru huo mataifa
ya kiarabu Misri, Lebanon, Syria, Jordan na Iraq yaliivamia Israeli na
kuzuka vita ya iliyojulikana kama 1948 Arab-Israel war. Israeli iliibuka
kidedea ikiyateka maeneo zaidi ya ramani ya awali na kugawa mji wa
Yerusalem. Mwaka 1964 wapalestina walianzisha chama cha Palestinian Liberation Organization (PLO) ambacho hakikutambuliwa na Israeli. Katika
vita vya Siku Sita 1967 vya Israeli na waarabu ambavyo Israeli
ilishinda kwa kishindo ikiacha hasara kubwa kwa maadui zake viliifanya
nchi hiyo kujiongezea ukubwa mara tatu ya ule wa awali. Siri ya
ushindi wa vita hivyo ulitokana na mbinu na maandalizi mazuri yaliyokuwa
yamefanywa na hasa ni kule kuvamia kabla ya adui hajakushambulia. Kama
wangesubiri washambuliwe basi Israeli ingefutwa katika ramani ya dunia
kama waarabu walivyokuwa wameazimia. Vita hiyo ya 1967 Israeli
ilipigana na Misri, Syria, Lebanon, Jordan zikisaidiwa kijeshi na
Sudani, Iraq, Algeria nchi zilizopeleka askari na silaha, Urusi
ikisaidia mataifa hayo kwa wingi wa silaha. Kabla ya vita mataifa
ya Marekani, Uingereza na Ufaransa yalipeleka silaha kwa Israeli na
kuifanya isiwe na wasiwasi katika matumizi ya silaha. Nini chanzo
cha vita hiyo? Israeli na majirani zake walikuwa wakiishi katika hali
ya uhasama tangu 1948 baada ya azimio la umoja wa mataifa la mwaka1947,
lililoamuru kugawanywa kwa nchi hiyo, waarabu walikuwa bado wanayo
hasira juu ya uwepo wa taifa hilo mashariki ya kati. Viongozi
mbalimbali wa nchi za kiarabu waliazimia kuifuta Israeli kwenye ramani
ya dunia. Israeli iligombana na Syria ilipoanza mradi wa ujenzi wa
miundombinu ya maji kuyatoa mto Jordan na kusambaza katika nchi hiyo.
Jeshi la Syria likatumia milima/miinuko ya Golan ilinayopata futi 3000
juu ya Galilaya kushambulia vijiji na mashamba. Mashumbulio ya
Syria yaliongezeka sana mwaka 1965 -66, Israeli ikilalamika Umoja wa
Mataifa ambao ulisisitiza kuacha mapigano bila kuchukua hatua yoyote kwa
Syria ambapo hata ulipotoa azimio la kulaani mashambulizi hayo
yalipingwa kwa kura ya veto na Urusi.
Mashambulizi
hayo yalienda sanjali na vitendo vya kigaidi dhidi ya taifa hilo ambapo
mwaka 1965 Rais wa Misri Gamal Abdel Nasser alisema “hatutaingia
Palestina nchi ikiwa imefunikwa kwa mchanga bali damu”. Baada ya miezi
michache Nasser alisema tena kuwa azma ya waarabu ni kuona wapalestina
wanakombolewa, kwa kifupi ni kuiondoa dola ya kiyahudi kwa maangamizi. Aprili
7, 1967 Syria ikitumia ndege aina ya MiG21 ilizokuwa imepewa na Urusi
ilishambulia vijiji (kibbutzim) kutokea Miinuko ya Golan, Jeshi la
Israeli lilitungua ndege sita za Syria.
Urusi
iliipa taarifa isiyo sahihi Syria kuwa Israeli inajiandaa kwa vita
licha ya Israel kukanusha lakini Syria ilijipanga ikiweka makubaliano ya
ushirikiano na Misri.
Tarehe 15 Mei,
1967 siku ya uhuru wa Israeli, majeshi ya Misri yalivuka kuelekea Sinai
karibu na mpaka na Israeli ambapo siku tatu baadaye tarehe 18 jeshi la
Syria likajipanga kwa vita katika milima ya Golan.
Baada ya majeshi ya Misri na Syria kujipanga kwa vita, Gamal Abdel Nasser aliamuru jeshi la umoja wa mataifa UN Emergency Force (UNEF), lililokuwa Sinai likiikinga Israeli tangu 1956 kuondoka mara moja bila kushirikisha umoja huo.
Mei
22, Misri ilifunga mlango bahari wa Tiran na kuzuia meli zote za kutoka
mashariki kuingia Israeli na kuzuia meli za Iran zilizokuwa zinapeleka
mafuta ya petroli na kuifanya nchi hiyo kutokuwa na njia inayopitika
(uamuzi wa Misri ulikiuka sheria za kimataifa).
Radio
Sauti ya Waarabu ikisema “kwa kuwa sasa jeshi la kimataifa lililokuwa
linaikinga Israeli limeondoka hatutavumilia zaidi wala kulalamika umoja
wa mataifa ila jambo moja tutakalofanya ni kuipiga vita na kutokomeza
siasa za kizayuni”.
Naye waziri wa ulinzi
wa Syria Hafez Assad alisema “majeshi yetu yako tayari kuifuta Israeli”
nakuu kwa kimombo ‘Our forces are now entirely ready not only to repulse
the aggression, but to initiate the act of liberation itself, and to
explode the Zionist presence in the Arab homeland. The Syrian army, with
its finger on the trigger, is united....I, as a military man, believe
that the time has come to enter into a battle of annihilation” alisema
hayo Mei 20, 1967.
Rais wa Marekani
Johnson alilaani na kusema kitendo cha Misri ni kinyume na sheria ya
bahari iliyopitiwa mwaka 1958 ambapo umoja wa mataifa ulitambua haki ya
Israeli kutumia mlango bahari wa Tiran (Straits of Tiran) kupitisha
meli.
Nasser aliendelea na vitisho
akiitaka Israeli kuingia vitani akidai kuwa hawatasikiliza shauri lolote
la masikilizano kwani wao wako vitani na Israeli tangu mwaka 1948.
Aliongeza kusema kuwa majeshi ya Misri, Jordan, Syria na Lebanon
yametulia mipakani mwa Israeli na nyuma yao yapo majeshi ya Iraq,
Algeria, Kuwait, Sudan, Saudi Arabia na ulimwengu wote wa kiarabu.
Alijigamba zaidi kwa kusema kwa tendo hili dunia yote itastaajabia na
kujua kuwa waarabu wapo wamejizatiti kwa vita.
Rais
wa Iraq Abdur Rahman Aref alisema “Uwepo wa taifa la Israeli ni kosa
ambalo ni lazima lirekebishwe, huu ni wakati wa kufuta aibu ambayo
tumekuwa nayo tangu 1948, lengo letu ni kuifuta Israeli kwenye ramani”.
Iraq ilipeleka majeshi yake Juni 4 kujiunga na Misri, Jordan na Syria.
Majeshi ya kiarabu yanayokadiliwa askari 465,000, zaidi ya vifaru 2,800, na ndege 800 viliizunguka Israeli.
Kipindi
hicho Israeli ilikuwa kwenye hali ya tahadhari kwa wiki tatu muda huo
iliutumia kuingiza silaha toka mataifa ya magharibi Marekani, Ufaransa
na Uingereza. Silaha zilishushwa katika mji wenye bandari wa Haifa.
Israeli
kwa kuwafahamu adui zake walivyo waliwafanyia kamchezo ka hadaa, kwanza
ilifungua mpaka wake na Misri ili kuruhusu wapelelezi wa Misri kuingia
na kutoka. Pili oparesheni ya kuhamisha silaha zilizowasili katika mji
wa Haifa wakazipeleka ghuba ya Aqaba eneo lenye pori na miamba wakati wa
mchana na kuzirudisha Haifa usiku na kuzihifadhi kwenye mahandaki.
Jambo
jingine lililowasaidia Israeli ni hadaa iliyofanywa, Waarabu
walipotangaza vita na kuitisha Israeli, iliwaita makamanda wote
waliokuwa likizo kurudi kazini na mawaziri waliokuwa ziarani kurudi mara
moja, jambo lililofanywa na Misri pia.
Baada
ya wiki hizo tatu za maandalizi ya nguvu Israeli ikatangaza kuwa
makamanda waliokuwa likizo waendelee na likizo zao inaonesha waarabu
walikuwa wanawatisha tu hakutakuwa na vita. Kipindi hicho Marekani
ilijaribu kuzuia vita kwa kuishauri Misri kusitisha mpango wa vita
lakini haikuwezekana kumshauri raisi wa Misri Gamal Abde Nasser hali
iliyomfanya Rais wa Marekani Johnson kuonya kuwa “Israeli haitakuwa
pekee vitani labda ikitaka kuwa hivyo”
Juni
5, 1967 waziri mkuu wa Israeli Levi Eshkol aliamuru kuishambulia Misri,
hapo Israeli ilikuwa peke yake, lakini yenye makamanda waliojizatiti
kwa mkakati maalum. Jeshi lote la anga la Israeli ukiacha ndege 12 tu
ziliachwa kulinda anga la Israeli, majira ya saa 1.14 asubuhi (saa moja
asubuhi) walipiga mabomu viwanja vyote vya ndege za kivita vya Misri
wakati marubani wa ndege hizo wakipata kifungua kinywa.
Ndani
ya masaa mawili ndege 300 za Misri zilikuwa zimeshapigwa mabomu na
kuharibiwa kabisa, masaa machache baadaye ndege za Israeli zilishambulia
majeshi ya anga ya Jordan na Syria na kiwanja kimoja cha Iraq.
Jioni
ya siku ya kwanza ya vita ndege zote za Misri na Jordan na nusu ya
ndege za Syria zilikuwa zimeharibiwa zikiwa viwanjani. (ujanja wa
kuzipiga zikiwa kwenye hanger kabla hazijaruka ulitumika).
Misri
iliyokuwa na nguvu za kijeshi na jeshi kubwa la ardhini lenye vifaru na
magari ya vita ilianza matayarisho ya kuyavusha kwenye mfereji wa Suez
(madarajani) likafauru kuvusha askari 20,000 hadi penisula ya Sinai.
Israel
ikiwa inaangalia mwenendo wote wa majeshi ya Misri iliacha operesheni
hiyo ifanyike ya uvushaji askari na silaha kuelekea Sinai na kisha
ikatuma ndege zake kuvunja madaraja ya Suez na kuhakikisha hakuna msaada
wa kijeshi wala chakula utakaovuka kusaidia kikosi kilichokwisha vuka.
Kisha
vilianza vita vya ardhini ambapo mapigano makubwa ya kihistoria ya
vifaru yalitokea baina ya majeshi ya Misri na Israeli katika jangwa la
Sinai.
Baada ya Jordan kushambuliwa
wapalestina wapatao 325,000 walioishi Ukingo wa Magharibi wa mto Jordan
walilazimika kukimbia na kwenda nchini Jordan kuepuka vita.
Kikosi
kidogo cha mashujaa wa Israeli kiliwekwa kuzuia majeshi ya Syria wakati
vita vikali vikiendelea baina ya Israeli na Misri na Jordan hadi
walipoona wamedhoofisha majeshi hayo ndipo kikosi kizima cha jeshi la
anga kiliposhambulia ngome ya Syria kwenye milima Golan, Juni 9, baada
ya siku mbili za mashumbulizi ya nguvu (heavy bombardment) walifaulu
kupenya safu ya Syria. Baada ya siku sita za mapigano Israeli ilikuwa
na uwezo wa kuingia Cairo, Damascus na Amman bila kikwazo, wakati huo
lengo la kuiteka Sinai na Miinuko ya Golan lilikuwa limefikiwa. Viongozi
wa Israeli hawakuwa na nia ya kupiga miji mikuu ya nchi hizo, jambo
ambalo walikuwa na uwezo nalo. Zaidi ya hayo Urusi ikiwa
imechanganyikiwa na mafanikio ya Israeli ikawa inatishia kuingilia vita.
Wakati huo waziri wa Mambo ya nje (Secretary of State kama
wanavyomwita) wa Marekani Dean Rusk aliishauri Israeli kukubali wito wa
kusimamisha mapigano, Israeli ilikubali Juni 10 ilisimamisha mapigano.
Ushindi
wa Israeli uliigharimu. Katika kushambulia milima ya Golan wanajeshi
115 wa Israeli walipoteza maisha ikipoteza ndege 46 kati ya 200 wakati
upande wa waarabu Misri askari 15,000, Syria 2500 na Jordan 800.
Mwisho
wa vita Israeli ilikuwa imejiongezea ukubwa wa eneo mara tatu kutoka
maili za mraba 8000 hadi 26,000, ushindi huo uliifanya Israeli kuutwaa
mji wa Yerusalem, mkono bahari wa Sinai, Golan Heights, Ukanda wa Gaza
na Ukingo wa Magharibi wa mto Jordan.
Licha
ya vita hiyo Israeli iliwashauri wapalestina kuendelea kuishi chini ya
utawala wa Israeli ambapo baadhi ya familia za wapalestina zilizokuwa
zimetengana waliweza kuungana na wengine hawakuwa na imani na Israeli.
Mwezi
Novemba 1967, Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lilipitisha Azimio
na 242 lililowataka Israeli na Waarabu kuwa na amani ambapo Israeli
ilitakiwa kuondoka katika Ardhi ilizoteka kwa makubaliano ya kuwa na
amani na majirani zake.
Mwandishi maarufu
wa habari za Waarabu katika Israeli Don Peretz aliyetembelea Ukingo wa
Magharibi wa mto Jordan siku chache baada ya vita alithibitisha kuona
jinsi Israeli ilivyojitahidi kurejesha hali ya kawaida ya maisha na
kuzuia kuhama kwa waarabu maeneo hayo.
Mgogoro
mwingine uliibuka mwaka 1973, vita vilivyojulikana kwa jina la Yom
Kippur, waziri mkuu wa Israeli akiwa Golder Meir (Iron Woman) ambavyo
Israeli ilipigana bila ya maandalizi yoyote kwani ilishambuliwa kwa
kustukizwa. Golder Meir ambaye alichaguliwa kuchukua nafasi ya
Levi Eshkol kufuatia kifo chake cha ghafla Februari 26, 1969 na Meir
kuanza kazi hiyo Machi 17 mwaka huo akiwa na sifa kem kem ikiwepo ya
kufanikisha serikali ya mseto mwaka 1967 baada ya vita ya siku sita
chama cha Mapai kilijiunga na vyama vingine vya Rafi na Ahdut HaAvoda na
kuunda Israel Labour Party. Ni katika kipindi cha Golder Meir
kabla ya vita ya Yom Kippur yalitokea mauaji ya wanamichezo wa Israeli
huko Ujerumani waliposhiriki michezo ya Olimpiki 1972 (1972 Summer
Olympics) mauaji yaliyojulikana kama Mauaji ya Munich (Munich massacre)
ambapo jumla ya wanamichezo 11 waliuawa na kikundi cha wapalestina
kiliichoitwa Black September Organization. Kwa ujasiri mkubwa
baada ya kuona jumuia ya kimataifa haijachukua hatua stahili, Golder
Meir aliamuru shirika lake la kijasusi Mossad kuwasaka na kuwaua wote
walioshiriki kupanga mauaji hayo ambayo watekaji nyara walidai kuachiwa
huru kwa wafungwa 363 wa kipalestina na wengine walioshikiliwa katika
magereza ya Israeli. Operasheni hiyo ilijulikana kama Operesheni
Ghadhabu ya Mungu au Operesheni Singe. ( Operation Wrath of God au Operation Bayonet) Katika
operesheni hiyo ambayo ililenga kulipiza kisasi kwa wote waliohusika
kupanga mauaji hayo wakiwepo baadhi ya wanachama wa kundi la PLO na
Black September Organization ambapo mauaji yalitekelezwa kwa siri na
kundi la watu 15 waliogawanywa katika squad tano. Vita ya Yom
Kippur au Ramadhan war au vita vya Oktoba kama vinavyojulikana
vilipiganwa toka Octoba 6 hadi 26 mwaka 1973 umoja wa mataifa
ulipoilazimisha Israeli kusimamisha vita na hasa baada ya Israeli
kukizingira kikosi kikubwa cha tatu cha Misri (Third Army). Mwanzoni
waarabu walionekana kushinda vita na kusababisha hasara kubwa kwa jeshi
la Israeli lakini upepo uligeuka ambapo Israeli iliwapiga adui zake na
kupenya hadi ukingo wa magharibi wa bahari ya Shamu (walivuka mfereji wa
Suez) Hata hivyo Idara ya Usalama ya Israeli ililaumiwa kwa
kutokuwa makini kwani walionywa mara kadhaa kuhusu kusudio la waarabu la
kuishambulia Israeli. Vilianza kwa mashambulizi ya ghafla ya
Misri na Syria siku ya sikukuu kubwa ya wayahudi ya kidini ambapo
mataifa hayo mawili yaliishambulia Israeli kwa nguvu na kuonekana kama
watashinda vita katika masaa 24 hadi 48 ya kwanza baada ya hapo hali
iligeuka. Katika wiki ya pili ya mapigano Syria ilikuwa
imesukumwa kutoka milima ya Golan na kwa upande wa Misri vikosi
vilisukumwa hadi kusini mwa Sinai na kisha kikosi cha Israeli kikapenya
kati ya vikosi viwili vya Misri na kuvuka mfereji wa Suez na kukizingira
kikosi cha tatu (Third Army) cha Misri.
Jeshi
la Misri lililokuwa limevuka mfereji wa Suez (mpaka wa vita vya 1967,
mstari wa kusimamisha mapigano) likajigawa Ukanda wa Gaza na kusini
ukingo wa mashariki wa Suez likavunja ngome iliyojengwa iliyoigharimu
Israeli USD 500 ambayo ilipewa jina la Bar Lev Line kwa heshima ya
Jenerali Chaim Bar-Lev.
Kuzingilwa
kwa kikosi huko kuliipa nguvu Israeli wakati wa mazungumzo yaliyokuwa
kiini cha mkataba wa Camp David, Israeli ilitaka kukiangamiza kikosi
hicho ambapo Misri ilibidi ijisalimishe ili kuokoa maisha ya wanajeshi
wapatao 20,000.
Marekani ilitumia mwanya
huo kuilazimisha Misri kufuta maombi ya msaada iliyokuwa imeomba toka
Urusi na kuahidi kuisaidia na hivyo kupunguza ushawishi wa Urusi eneo
hilo ambapo mambo yalihitimishwa kwa mkataba wa Camp David uliopatanisha
Israeli na Misri hadi leo. Baada ya kifo cha Gamar Abde Nasser rais
wa Misri alitawala Anwaar Sadat ambaye alikuwa ametangaza mwaka 1972
kuwa ameamua kuingia vitani na Israeli na kwamba ameandaa wanajeshi
milioni moja ambao wako tayari kujitoa muhanga ili kukomboa maeneo ya
Sinai.
Kwa kauli hiyo mwishoni wa 1972 alinunua ndege za kivita MiG-21, makombora ya kutungulia ndege ya SA-2, SA-3, SA-6 na SA-7 , na vifaru aina ya T-55 na T-62, silaha za kulipulia vifaru RPG-7 na makombola ya vifaru ya AT-3 kutoka Urusi.
Sadat
akiipa jina la Operesheni Badr (neno la kiarabu lenye maana ya mwezi
mpevu) akilinganisha na Vita vya Badr ambavyo waislam waliwashinda
Wakuraish wa Maka akikusudia kurudisha heshima ya Waarabu waliyopoteza
katika vita ya 1967.
Habari za kijasusi
ziliifikia Israeli kuwa Misri ilipanga kuivamia Israeli lakini
isingefanya vile bila kupokea ndege za MiG-23 na makombola ya Scud
ambayo yangetumika kuibomoa miji ya Israeli. Taarifa hiyo iliifanya Israeli isiwe makini na kudhani vita isengetokea katika muda mfupi hivyo. Mikakati
ya vita iliyofanywa na Sadat na mwenzie Assad wa Syria ilikuwa kuivamia
Israeli siku ya sikukuu kubwa ya Yom Kippur ambapo ilikuwa ni siku ya
mapumziko, hakuna kuwasha mioto wala kuendesha magari na hivyo kufanya
kila kitu kuwa kimya kabisa.
Hali hiyo
iliwasaidia Israeli kwani walipovamiwa ghafla iliwawia rahisi kutumia
barabara kujipanga haraka kwani hakukuwa na msongamano wa magari
barabarani, pia iliwakusanya maaskari wa akiba kirahisi kwani wengi
walikuwa kwenye masinagogi wakisali.
Mbinu
nyingine iliyotumiwa na Misri ni kuwapa likizo maaskari wa akiba ambapo
Nasser aliruhusu askari 20000 kwenda mapumzikoni na wengine kwenda
Hija.
Usiku wa Septemba 25 mfalme Hussein
wa Jordan aliruka kwa ndege kwa siri hadi Tel Aviv kumwonya waziri mkuu
wa Israeli Golder Meir juu ya shambulio lililopangwa dhidi yake jambo
ambalo walipuuza.
Mwezi huo Israeli ilipata maonyo kumi na moja toka vyanzo vya kuaminika lakini mkuu wa MossadZvi Zamir alipuuza. Lakini Golda Meir, Moshe Dayan, na Jenerali wa Israeli David Elazar walikutana saa 2:05 asubuhi ya siku ya Yom Kippur, masaa sita kabla ya shambulio.
Golder
Meir alikataa kuanzisha shambulio akihofia kutopata msaada wowote toka
nje. Wakati huo nchi za Ulaya zilikuwa zimeacha kuisaidia Israeli
silaha. Mara waziri huyo alipotoa uamuzi alipokea ujumbe kutoka kwa
katibu mkuu wa umoja wa mataifa Henry Kissinger kuwa Israeli
isishambulie isubiri tu. Vita hiyo ambayo kwa sehemu kubwa
Israeli ililemewa na kupata hasara kubwa kwani katika masaa 27 ya kwanza
ilikuwa imepoteza ndege 30 na vifaru 300 katika shambulio la Misri la
Bar-Lev huku jeshi hilo la Misri likiwa limesonga mbele kwenye jangwa la
Sinai kilomita tano. Israeli ilibidi ibadili mbinu za kivita
kwani makombora ya ulinzi wa anga ya SAM yaliwazidi nguvu, wakaamua
kutumia jeshi la miguu (Infantry), kikosi hicho kilifaulu kwa sehemu
kubwa hadi kupenya hadi kwenye safu yalikowekwa makombola hayo na
kuyaharibu na hivyo kudhoofisha mfumo wa kujikinga wa Misri. Baada
ya kudhoofisha mfumo huo wa ulinzi ndipo jeshi la anga la Israeli
likazidisha mashambulizi. Siku iliyofuata, Oktoba 15, Israeli ilianzisha
Operesheni Abiray-Lev (yaani stout-hearted men au operesheni ya
majasiri/mashujaa). Divisheni iliyoongozwa na Meja Jenerali Ariel
Sharon ilishambulia safu za jeshi la Misri eneo la Ismailiya kati ya
kikosi cha pili kilichokuwa kaskazini na cha tatu kusini (Second and
Third Army) na kufaulu kupenya hadi Suez na kuvuka. Baada ya siku
chache Israeli ilijenga madaraja manne kuvuka mfereji wa Suez mwisho wa
vita Israeli ilikuwa ndani ya Misri kilomita 101 kutoka mji mkuu wa
Misri Cairo. Kwa upande wa Syria hali ilikuwa tofauti kidogo,
pamoja na kuwa na silaha kama zile za Misri vita vilikuwa vikali ambapo
ndege za Israeli zikikwepa kutunguliwa zilikuwa zikipita uwanda wa chini
wa Jordan kisha kuibukia Syria na vifaru vingi vilipelekwa huko. Viongozi
wa Israeli waliithamini sana milima ya Golan na hivyo kupeleka nguvu
zote hapo kwani jeshi la Syria lingefaulu kuteka milima hiyo ingelikuwa
rahisi kupita hadi Tiberias, Safed, Haifa, Netanya, na Tel Aviv. Askari
wote wa akiba walipelekwa milima ya Golan wakipewa vifaru na kuendelea
na mapambano, hapo ndipo alipoibuka shujaa wa vita hivyo Luten Zvika Greengold
ambaye alifika jioni hiyo kwenye uwanja wa mapambano, alikuwa peke yake
akitumia kifaru chake kupambana na majeshi ya Syria akiyapiga hadi
msaada ulipofika. Masaa 20 baadaye Zvika Force jina alilobatizwa
alitumia kifaru chake kuingia katikati ya vifaru vya Syria na kuvipiga
huko na huko ambapo alibadili vifaru sita, wakati mwingine
akijichanganya na kikosi cha vifaru mara nyingine peke yake,
alijeruhiwa, aliunguzwa moto lakini aliendelea na mapambano kwa kitendo
hicho Zvika alitangazwa kuwa shujaa wa vita hivyo. Baraza la
Usalama la Umoja wa Mataifa lilipitisha Azimio namba 338 la kusitisha
vita baada ya Marekani na Urusi kukubaliana Oktoba 22 ambalo lilianza
kutekelezwa masaa 12 baadaye. Baada ya kuanza utekelezaji wa
azimio hilo Misri ilishambulia mara kadhaa vikosi vya Israeli ikiharibu
vifaru 9, kwa kulipiza kisasi Israeli ilielekeza majeshi yake kusini na
kukizingira kikosi cha tatu cha Misri baada ya Jenerali David Elazar
kuomba idhini toka kwa Moshe Dayan kwani zoezi la kusimamisha mapigano
lilianza kutekelezwa wakati Israeli imebakiza mita chache kufikia
malengo wakateka barabara kuu ya Cairo kwenda Suez. Asubuhi ya
Oktoba 23, Urusi iliilaumu Israeli kwamba majeshi yake yalionekana
yakielekea kusini Henry Kissinger akampigia simu Golder Meir kuwa
unawezaje kutambua mstari wa kusimamisha mapigano jangwani ambapo Meir
alimjibu kuwa wote watajua tu akiwa na maana watajijua na jeuri yao,
muda mfupi baadaye Kissinger alipata taarifa za kuzingirwa kwa kikosi
cha tatu (Third Army).
Kissinger aligundua
kuwa hiyo ni nafasi ya pekee kwa Marekani kuibana Misri ili kuiondoa
kwenye ushawishi wa Urusi, kwa kweli Misri haikua na ujanja wowote zaidi
ya kuitegemea Marekani kuizuia Israeli isikiangamize kikosi
kilichozingirwa ambacho hakikuwa na chakula wala maji.
Wakati
huo Rais wa Urusi Leonard Brezhnev alimtumia barua Rais wa Marekani
Richard Nixon akisema kuwa Urusi na Marekani kwa pamoja visimamie
usitishaji huo wa mapigano vinginevyo Urusi ingeingilia kuisaidia Misri. Urusi
ilikuwa imeshaandaa vikosi na baadhi yake ikawa imevisafirisha toka
Urusi hadi kwenye kituo chake cha kijeshi cha Yugoslavia na kupeleka
kikosi cha wanamaji 40,000 kwenye bahari ya Mediterrenea.
Kwa
bahati mbaya barua hiyo ilifika Nixon akiwa amelala hivyo Kissinger na
maafisa wengine wa Ikulu akiwemo Katibu wa ulinzi James Schlesinger,
Mkurugenzi wa CIA William Colby na Mkuu wa WhiteHouse Alexander Haig
(Kashfa ya Watergate ikiwa kileleni) waliishughulikia.
Wakubwa
hao bila kumshirikisha Rais Nixon wakajibu kwa jina la Nixon kwa Urusi
na kuiambia Misri ijitoe katika ushawishi wa Urusi vinginevyo Urusi
ikiingilia na wao wataingia vitani, hilo likawa tishio la vita ya tatu
ambayo ingekuwa ya Nuclear.
Urusi
ilishangaa na hofu iliyowakumba Marekani hata mkuu wa KGB Yuri Andropov
akasema hali ni tete hatuwezi kuruhusu vita ya tatu.
Asubuhi
yake Misri ilikubali ushauri wa Marekani na kutangaza kufuta ombi la
msaada iliyokuwa imeomba awali na Urusi ikakiri kushindwa vita kwa
waarabu na huo ukawa ndiyo mwisho wa mgogoro.
Kutekelezwa
kwa wito wa kusimamisha mapigano baina ya Misri na Israeli
kuliichanganya Syria iliyokuwa imejiandaa upya kuishambulia Israeli
tarehe 23 Oktoba baada ya kutafakari ikajua kuwa nguvu yote ya Israeli
ingehamia kwake na kupiga Damascus hivyo Assad akatangaza kusimamisha
mapigano Oktoba 23, na Iraqi ikawarudisha nyumbani askari wake.
Hata
hivyo baada ya vita hiyo Golder Meir alijiuzulu kufuatiwa lawama za
kutojiandaa kwa taifa hilo kivita (utayari wa vita) baada ya tume ya Agranat Commission kuelekeza lawama zote kwake na Yitzhak Rabin akamrithi mnamo Juni 3, 1973.
Mwaka 1975, Meir alituzwa Tuzo ya Israeli ( Israel Prize
) kwa mchango wake maalum kwa taifa la Israel. Alifariki Disemba 8,
1978 kwa saratani mjini Jerusalem akiwa na umri wa miaka 80.
6. Utangulizi Kwa ‘Protokali Za Kiyahudi’
Nyaraka
hizi mara nyingi sana zimetajwa na hao wenye kuvutiwa na nadharia ya
nguvu za Kiyahudi kwa dunia yote badala ya shughuli halisi ya nguvu hizo
hapa duniani, leo ni hizo makala 24 zijulikanazo kama “Protokali za
wazee wenye kuelimika wa zayuni.” Protokali zimekuwa na mvuto mkubwa Ulaya, zimekuwa kituo cha dhoruba
muhimu ya maoni nchini Uingereza, lakini hazizungumzwi sana nchini
Marekani. Ambaye kwa mara ya kwanza alizipatia majina nyaraka hizi zenye jina
la “Wazee walioelimika wa Zayuni” hajulikani. Itawezekana bila kulika
kukubwa kwa nyaraka ili kufuta dokezo zote za uandishi wa Kiyahudi, na
bado ubakishe mambo yote ya mpango mkubwa kwa ajili ya kutiisha
ulimwengu ambao kamwe haujajulikana kwa watu. Hata hivyo kuondosha dokezo zote za uandishi wa kiyahudi itakuwa ni
kuleta idadi ya mikanganyiko ambayo haipo kwenye Protokali katika muundo
wao wa sasa. Madhumuni ya mpango uliofichuliwa kwenye Protokali ni kudhoofisha
mamlaka zote ili kwamba mamlaka nyingine mpya iliyo katika muundo wa
udikiteta uweze kusimamishwa. Mpango kama huo hutokea kwenye tabaka la
watawala ambao tayari lilikuwa na mamlaka ingawa unaweza kutokana na
watu wanaopenda utawala huria. Lakini wapenda utawala huria hawakubali udikiteta kama sharti la
msingi wanalotafuta. Waandishi wanaweza kutambulika kama kundi la
wachochezi wa kifaransa kama lile lililokuwepo wakati wa mapinduzi ya
Ufaransa na lilikuwa na kiongozi wake mwenye sifa mbaya Duc d’Orleans,
lakini hii ingehusisha mkanganyiko, kati ya ukweli kwamba wachochezi hao
wamefariki, na ukweli kwamba mpango uliotangazwa kwenye Protokali hizi
katika kutekelezwa kwa uimara, si tu Ufaransa lakini katika Ulaya yote
na kufahamika vya kutosha Marekani. Katika muundo wao wa sasa ambao hushuhudia kuwa kwao muundo wa
kiasili, hakuna mkanganyiko. Shutuma za uandishi wa Kiyahudi huonekana
za muhimu kwenye uthabiti wa mpango huo. Kama nyaraka hizi zilighushiwa ambapo watetezi wa Kiyahudi hudai
hivyo, waliozighushi labda wangejitahidi kufanya uandishi wa Kiyahudi
kuwa wazi mno hivyo kwamba makusudio yao ya kukataa Usemiti
yangegundulika kwa urahisi sana. Lakini neno ‘Myahudi’ limetumiwa mara
mbili tu. Baada ya mtu kusoma zaidi ya msomaji wa wastani kwa kawaida
hujali kuyaendea mambo kama hayo, mtu hukutana na mpango wa kuanzishwa
kwa udikiteta wa ulimwengu, na ni hapo tu ndipo inafanywa wazi ni nasaba
gani angepaswa kuwa. Lakini katika nyaraka zote hakuna shaka iliyoachwa kuhusu watu ambao
dhidi yao mpango huo umewalenga. Mpango huu haukulengwa dhidi ya mtaji
kama inavyoonekana. Masharti ya wazi kabisa ya sheria hufanywa kwa ajili ya uandikishaji
wa udikiteta, mtaji na serikali kwa ajili ya utekelezaji wa mpango huo.
Umelengwa dhidi ya watu wa dunia ambao huitwa ‘watu wa mataifa’. Ni kutajwa mara kwa mara kwa ‘watu wa mataifa’ ambako kwa hakika hutoa uamuzi wa madhumuni ya nyaraka. Mipango mingi ya ‘wanaopendelea maendeleo’ ya aina ya uharibifu inalenga
katika kuandikisha watu kwa ajili ya kudumazwa, na kuchanganyikiwa
kiakili na kwa hiyo kuwatawala kwa hila. Vyama mashuhuri vya aina ya
‘wanaopendelea mabadiliko’ ni vya kutiwa moyo, falsafa zote zenye vurugu
kwenye dini, uchumi, siasa na maisha ya nyumbani zinatakiwa
kupandikizwa na kumwagilia maji kwa madhumuni ya kuvunja mshikamano wa
kijamii, na mpango bainifu ambao umewekwa humo na kuweza kupitishwa humo
bila kufahamika, na kisha watu wataongozwa nawo wakati uwongo wa
falsafa hizi unaoneshwa. Fomiula ya hotuba haitakuwa ‘sisi Wayahudi tutafanya hivi,’ lakini
‘watu wa mataifa watafanywa wafikirie na kufanya mambo haya.’ Isipokuwa
kwa mifano michache kwenye Protokali za mwisho, ni neno moja tu la
kimbari lililo bainifu limetumika, nalo ni ‘watu wa mataifa.’
Kuonesha ishara ya kwanza ya aina hii inakuja kwenye Protokali ya kwanza kwa njia hii: “Sifa kubwa za watu – uaminifu, na uwazi – hayo ni mauovu ya kimsingi
katika siasa, kwa sababu kwa hakika zaidi huondoa kwenye utawala na kwa
yakini zaidi kuliko afanyavyo adui mwenye nguvu sana. Sifa hizi ni sifa
za utawala wa watu wa mataifa (wasio Wayahudi), kwa hakika sisi
hatuwezi kuongozwa nao.” Na tena: ‘Kwenye magofu ya udikiteta wa kurithiana wa watu wa mataifa
(wasio Wayahudi) tumetengeneza udikiteta wa tabaka la wasomi wetu, na
juu ya yote udikiteta wa fedha. Tumeanzisha msingi wa huu udikiteta mpya
juu ya msingi wa matajiri ambao tunawadhibiti, na kwa sayansi ambayo
inaongozwa na watu wetu wenye busara.’ Tena: ‘Tutalazimisha mishahara kupanda ambayo, hata hivyo haitakuwa
na faida kwa wafanyakazi, kwani wakati huo huo tutasababisha kupanda kwa
bei za vitu muhimu, na kusingizia kwamba hiyo ni kwa sababu ya kupungua
kwa kilimo na ufugaji wa mifugo. Pia kwa ustadi na kwa kina tutadhoofisha vyanzo vya uzalishaji kwa
kuingiza fikira za vurugu kwa wafanyakazi, na kuwatia moyo kunywa pombe,
wakati huo huo tutachukua hatua za kuwaswaga wasomi wote wasio Wayahudi
waondoke kwenye nchi.’ (Mghushaji pamoja na upinzani wa – kijicho cha Usemiti huenda
aliandika hili wakati wowote katika kipindi cha miaka mitano (5)
iliyopita, lakini maneno haya yalikwishapigwa chapa mapema tangu mwaka
1905, nakala yake ikiwemo ndani ya Jumba la Makumbusho la Uingereza
tangu 1906, na yalisambazwa nchini Urusi miaka kadhaa kabla yake.) Nukta
hiyo hapo juu inaendelea: ‘Hivyo kwamba hali ya ukweli haitafahamika kwa watu wa mataifa
(yaani, wasio Wayahudi) kabla ya wakati muafaka. Tutaivisha kinyago kwa
jitihada za kujifanya kuyahudumia matabaka ya wafanyakazi na kutangaza
misingi mikuu ya kiuchumi ambapo kwa lengo hilo propaganda ya uchochezi
itatekelezwa kwa njia ya nadharia zetu za kiuchumi.’ Nukuu hizi zitaonesha mtindo wa Protokali katika kufanya rejea kwenye
makundi husika. Ni ‘sisi’ kwa ajili ya waandishi, na ‘watu wa mataifa,
yaani, wasio Wayahudi’ kwa ajili ya hao ambao habari zao zinaadikwa. Hii
imeletwa kwa wazi kabisa kwenye Protokali ya Kumi na nne. ‘Katika tofauti hizi kati ya watu wa mataifa na sisi katika uwezo wa
kufikiri na mantiki itaonekana kwa wazi lakiri ya kuchaguliwa kwetu kama
watu wateule, kama binadamu wa daraja la juu zaidi, tukilinganishwa na
wasio Wayahudi ambao wana silika tu na akili za kihayawani. Huchunguza,
lakini hawaoni mbali, na hawavumbui chochote (isipokuwa labda vitu vya
anasa). Ni wazi kutokana na hili kwamba maumbile yenyewe yamejaalia kwamba
sisi tutawale na kuongoza dunia.’ Bila ya shaka, hii imekuwa ni mbinu ya
Kiyahudi ya kuwagawa wanadamu tangu zama za kale. Dunia yote ilikuwa ya Myahudi tu na mtu wa mataifa, yaani asiye
Myahudi, wale wote ambao hawakuwa Wayahudi walikuwa (wakiitwa) watu wa
mataifa. Matumizi ya neno fisadi yanaweza kuoneshwa kwenye ibara hii ya
Protokali ya Nane. ‘Kwa muda huu hadi hapo, itakuwa salama kutoa nafasi za uwajibikaji
katika serikali kwa ndugu zetu Wayahudi, tutazikabidhi kwa watu ambao
historia yao na tabia zao ni za aina ambazo kuna lindi kuu kati yao na
watu.’ Huu ni utekelezaji ujulikanao kama kutumia ‘mipaka ya watu wa
mataifa, yaani wasio Wayahudi’ ambao leo unatumiwa sana katika ulimwengu
wa kifedha kwa lengo la kuficha ushahidi wa mamlaka ya Kiyahudi. Ni maendeleo kiasi gani yamefanyika tangu yalipoandikwa maneno haya
yanaoneshwa na kongamano la chama huko San Francisco ambapo jina la Jaji
Brandeis lilipingwa kugombea Urais. Inaingia akilini kutarajiwa kwamba akili ya umma itafanywa kuwa na
mazoea zaidi na zaidi na fikira ya uvamizi wa Kiyahudi ambao kwa kweli
utakuwa hatua ya karibu sana kutoka kwenye kiwango cha sasa cha
ushawishi ambao Wayahudi wanafanya kwenye ofisi ya juu sana katika
serikali. Hakuna utendaji wa Urais wa Marekani ambamo Wayahudi hawajasaidia kwa
siri katika kiwango muhimu sana. Uvamizi halisi wa ofisi si lazima
kukuza mamlaka yao, lakini kuendeleza mambo fulani ambayo yanaenda
sambamba kwa karibu sana na mipango inayozungumziwa kwenye Protokali. Nukta nyingine ambayo msomaji wa Protokali ataiona ni kwamba sauti ya
ushauri haipo kabisa kwenye nyaraka hizi. Zenyewe sio propoganda. Si
juhudi za kuamsha tamaa au shughuli za hao ambao ndio wanaoandikiwa.
Zenyewe zipo baridi kama makala ya kisheria na kwa kweli kama meza ya
takwimu. Hakuna kitu kama ‘hebu na tuasi ndugu zangu’ kuhusu wao. Hakuna jazba ya ‘hatutaki watu wa mataifa’. Protokali hizi kama kweli
zilitengenezwa na Wayahudi na kufungiwa kwa Wayahudi tu, au kama zina
kanuni za Mpango wa Kiyahudi wa dunia yote, kwa hakika hazikukusudiwa
kwa wachochezi, isipokuwa kwa watu waanzilishi waliotayarishwa kwa
uangalifu na kujaribiwa na makundi ya juu zaidi.
Watetezi wa Kiyahudi wameuliza, ‘Inafahamika kwamba kama kulikuwa na
mpango wa aina hiyo wa dunia kwa upande wa Wayahudi, wangeupunguza kwa
maandishi na kuuchapisha?’ Lakini hakuna uthibitisho kwamba Protokali
hizi zilipata hata kutamkwa vinginevyo ni kama katika maneno
yaliyozungumzwa na wale walioyaweka mbele. Protokali kama tulivyonazo ni kwa dhahiri ni maadishi yatokanayo na
mihadhara ambayo mtu fulani aliisikia. Baadhi ya Protokali ni ndefu,
baadhi ni fupi. Makubaliano ambayo yamekuwa yakifanywa mara kwa mara
kuhusu Protokali tangu zilipojulikana ni kwamba ni muhtasari wa
mihadhara iliyotolewa kwa wanafunzi wa Kiyahudi mahali fulani Ufaransa
au Uswisi. Jaribio la kuzifanya chimbuko lake liwe Urusi huvurugwa na
mtazamo, rejea kwenye nyakati na ishara fulani za sarufi. Kwa hakika mwelekeo unalingana na dhana kwamba chimbuko lao lilikuwa
muhtasari wa mihadhara iliyotolewa kwa wanafunzi, kwani lengo lao kwa
dhahiri si kufanya mpango ukubalike lakini ni kutoa taarifa kuhusu
mpango ambao unawakilishwa kama vile tayari upo kwenye mlolongo wa
kutekelezwa. Hakuna mwaliko wa kuunganisha nguvu au kutoa maoni. Kwa
kweli umetangazwa kwa ufasaha kwamba wala si mazungumzo ama maoni
yanatakiwa ‘Tutakapokuwa tunahubiri fikira za wapendao mabadiliko kwa
wasio Wayahudi, tutawashika watu wetu na mawakala wetu katika utiifu,
usiohojiwa.’ Mpango wa uendeshaji lazima utokane na akili moja… ‘Kwa
hiyo, tunaweza kujua mpango wa utekelezaji, lakini hatutalizungumzia
suala hilo, isije tukaharibu tabia yake ya pekee… Kazi ya kutia moyo ya kiongozi wetu, kwa hiyo haiwezi kuoneshwa kwa
kundi na kupasuliwa vipande vipande, au hata kwenye kundi dogo.’ Aidha, kuzielewa Protokali katika maana yake halisi kwa mtazamo wa
juu juu, ni dhahiri kwamba mpango ambao umezungumziwa kwenye mihadhara
hii haukuwa mpya wakati mihadhara inatolewa. Hakuna ushahidi wa kuonesha
kuwa ni mpango wa hivi karibuni. Karibu sana kuwa humo upo mwenendo wa
mila, au dini kama vile ulikuwa unapokelewa kutoka kizazi kimoja hadi
kingine kupitia watu maalum wa kati wenye kuaminika na kufundwa. Hakuna
ishara ya uvumbuzi mpya wa shauku ndani yake, lakini uhakika na umakini
wa mambo na sera ulijulikana, ukathibitishwa kwa majaribio muda mrefu
uliopita. Nukta ya umri wa mpango imeguswa takriban mara mbili kwenye Protokali
zeneywe. Kwenye Protokali ya kwanza paragrafu hii inaonekana: ‘Tayari kipindi cha zama za kale tulikuwa watu wa kwanza kupiga
kelele kuhusu uwezo wa kujiamulia la kufanya, usawa na udugu miongoni
mwa watu.’ Maneno haya yamerudiwa mara nyingi tangu hapo kwa mfano wa
kasuku kutoka sehemu zote na kunasa kwenye mtego huu, ambapo kwa kutumia
mtego huo, wameharibu mafanikio ya dunia na uhuru wa kweli wa mtu
binafsi… Wanaodhaniwa kuwa wajanja na wenye akili katika wasio Wayahudi
hawakuelewa uashiriaji wa maneno yanayotamkwa, hawakuchunguza
mikanganyiko yao katika maana hawakuona kwamba katika maumbile hakuna
usawa…….. Rejea nyingine kwenye hitimisho la mpango inaonekana kwenye Protokali ya kumi na tatu: ‘Suala la sera, hata hivyo, haziruhusiwi kwa yeyote isipokuwa wale ambao wameanzisha sera na wameelekeza kwa karne nyingi.’ Je! Hii inaweza kuwa rejea kwenye mahakama ya siri ya kiyahudi,
inayojiendeleza yenyewe ndani ya tabaka fulani la Kiyahudi tangu kizazi
hadi kizazi? Tena, lazima isemwe kwamba waasisi na waelekezaji
wanaorejewa kwa sasa hawawezi kuwa tabaka lolote linalotawala, kwa yote
hayo ambayo mpango unatafakari linapingwa moja kwa moja na maslahi ya
tabaka kama hilo. Haiwezi kurejea kwa kundi la ubepari wa kitaifa, kama
wauza maduka ya vikorokoro wa Ujerumani, kwa mbinu ambazo zimependekezwa
ndizo hizo ambazo zingeliondolea uwezo kundi kama hilo. Haiwezi kurejea
kwa yeyote isipokuwa kwa watu wasio na serikali ya wazi, ambao wanacho
kila kitu kamili, miongoni mwa dunia inayoporomoka. Lipo kundi moja tu
linalotoa jibu kwa maelezo haya.
Ukosoaji ambao Protokali hizi huupitisha kwa wasio Wayahudi kwa
upumbavu wao ni haki. Haiwezekani kutokukubaliana na hata kitu kimoja
katika maelezo ya Protokali kuhusu akili za watu wa mataifa na ulaji
rushwa wao. Hata wenye akili sana na uepesi wa kung’amua miongoni mwa
watu wa mataifa wamepumbazwa katika kupokea kama mijadala ya maendeleo,
yale ambayo yamepenyezwa kwenye akili ya kawaida ya binadamu na mifumo
ya propaganda yenye kudhuru kwa siri sana. Ni kweli kwamba hapa na pale
mwanafikra hujitokeza na kusema kwamba sayansi kama ilivyo haikuwa
sayansi kamwe. Ni kweli kwamba hapa na pale mwanafikra amejitokeza na
kusema kwamba kile kiitwcho sheria za kiuchumi za wahafidhina na wenye
siasa kali hazikuwa sheria kabisa, lakini ni uvumbuzi wa bandia. Ni
kweli kwamba kipindi cha anasa za ufisadi na matumizi ya zaidi na zaidi
hakikuwa msukumo wa kimaumbile wa watu, lakini ni hali iliyoamshwa kwa
mpangilio, na kuingizwa kwao kwa ghilba kwa ubunifu. Ni kweli kwamba wachache wametambua kwamba zaidi ya nusu ya yale
yanayotakiwa ‘kutolewa maovu hadharani’ ni vifijo vya kukodishwa na
uzomeaji na kamwe hayajavutia akili za watu. Lakini pamoja na dalili hizi za hapa na pale, kwa muda mrefu
hazikutiliwa maanani, hapajakuwepo na mwendelezo na ushirikiano baina ya
wale waliokuwa macho, kuzifuatilia dalili zote hadi kwenye vyanzo vyao. Maelezo makubwa ya mashiko ya Protokali yaliyonazo kwa viongozi wengi
watawala wa dunia kwa miongo kadhaa ni kwamba huelezea ambapo ushawishi
wote wa udanganyifu huja na nini makusudio yao. Sasa ni wakati wa watu kujua kuwa kwa vyovyote vile Protokali kama
zikidhaniwa kuthibitisha lolote kuhusu Wayahudi au hapana, zinazo elimu
kwa njia ambayo umma wa watu unayumbishwa kama kondoo na ushawishi
ambao hawauelewi. Ni hakika kwamba mara kanuni hizi za Protokali zitakapojulikana kwa
mapana na kueleweka kwa watu, ukosoaji ambao sasa kwa usahihi wanaufanya
kwa jinsi ya akili za watu wa mataifa zilivyo, hautakuwa na manufaa
tena.
Je! Upo uwezekano wa mpango wa Protokali kutekelezwa hadi kufaulu?
Mpango tayari umekwishafuzu. Katika awamu zake nyingi zilizo muhimu sana
ukweli unaonekana. Lakini hakuna haja ya kusababisha wasiwasi, kwani silaha kuu
itakayotumika dhidi ya mpango kama huo kwenye sehemu zake
zilizokamilika na zisizokamilika, ni utangazaji wa wazi. Acha watu wajue: Kuamsha watu, kuwahadharisha watu, kuvutia kwenye
hisia za watu ni mbinu ya mpango uliofafanuliwa kwenye Protokali. ‘Dawa
ya kuuwa nguvu ya sumu ni kuelimisha watu.’ Protokali huonekana wakati wa uchambuzi kuwa una vitengo vinne vikuu.
Vitengo hivi havikuoneshwa kwenye maandishi ya nyaraka bali kwenye
fikira. Ipo ya tano, kama lengo lake lote limejumuishwa, lakini lengo hili
limechukuliwa kwenye Protokali zote, kuwa tu hapa na pale hubainishwa
katika vigezo. Na vitengo vinne vikuu ni mashina makuu ambamo yametokea
matawi mengi. Kwanza kipo kile kinachoitwa dhana ya kiyahudi kwa maumbile ya
binadamu, ambayo inamaanisha umbile la watu wa mataifa. Pili, yapo
maelezo ya yale ambayo yamekwishatimizwa katika utekelezaji wa mpango,
mambo ambayo tayari yamefanyika. Tatu, yapo maelekezo kamili kuhusu mbinu zinazotakiwa kutumika katika
kuwezesha mpango kutimizwa zaidi. Nne, Protokali zinayo maelezo ya kina
ya mafanikio ambayo wakati maneno haya yalipotamkwa yalikuwa
hayajafanyika bado. Baadhi ya vitu hivi vinavyotakiwa tayari vimetimizwa hivi sasa, kwani
inatakiwa kuzingatiwa kiakili kwamba kati ya 1905 na wakati wa sasa
ushawishi mwingi wenye nguvu sana umewekwa kwa lengo la kufanikisha
mambo fulani. Mafanikio yaliyotakiwa kufanikishwa ni kuvunja ushirikiano wa watu wa
mataifa na nguvu zao, bila ya shaka hali hiyo iliharakishwa na vita
kuu nchini Ulaya. Mbinu iliyoelezewa ni ile ya kusambaratisha. Wagawe
watu katika makundi na madhehebu. Pandikiza fikira zenye ahadi nyingi sana na za kufikirika na utafanya
mambo mawili, kila mara utaona kundi moja linaning’inia kwenye kila
fikira unayoitupa nje na utaona uzalendo huu unagawanyika na kufarakisha
makundi mbalimbali. Waandishi wa Protokali wanaonesha kwa maelezo ya wazi jinsi gani ya
kufanya hili. Si kuhusu fikira moja, lakini ni kuhusu fikira nyingi sana
zinazotakiwa kutolewa hadharani, na hapatakiwi kuwepo na ushirikiano
miongoni mwao. Kusudio si kuwafanya watu wafikiri kitu kimoja lakini wafikirie
tofauti sana kuhusu vitu vingi mbalimbali, hivyo kwamba hapatakuwepo
ushirikiano miongoni mwao. Matokeo yake yatakuwa mfarakano mkubwa sana,
vurugu nyingi sana, na hayo ndio matokeo yanayolengwa. Mara ambapo ushirikiano wa wasio Wayahudi utakapovunjwa na jamii hiyo
hiyo ‘watu wa mataifa/ wasio Wayahudi’ iwe haina dosari kabisa, kwani
jamii ya binadamu sehemu yake kubwa sana ni watu wa mataifa, yaani,
wasio Wayahudi – basi hii kabari ngumu ya fikira nyingine ambayo
haikuathiriwa hata kidogo na vurugu zinazoendelea inaweza kutengeneza
njia yake na kupenya mahali pa udhibiti. Inajulikana vya kutosha sana kwamba chombo cha polisi au wanajeshi
ishirini (20) waliopata mafunzo kinaweza kufanikisha zaidi ya kundi
lenye ghasia la watu elfu moja (1,000). Kwa hiyo watu wachache
walioingizwa kwenye mpango wanaweza kufanya zaidi katika taifa au dunia
iliyogawanywa katika maelfu ya makundi yenye kuhasimiana kuliko makundi
yoyote ambavyo yangefanya. ‘Wagawe na uwaongoze’ ni lengo la
Protokali.”1 Chukua kwa ajili ya mfano vifungu hivi vya maneno. Hivi ni kutoka
Protokali ya kwanza: ‘Uhuru wa kisiasa ni fikira, si ukweli. Ni lazima
kujua jinsi ya kutumia fikira hii kama kuna haja ya chambo cha kijanja
ili kupata kuungwa mkono na watu kwa ajili ya chama cha mtu, kama chama
hicho kimechukua juku-mu la kukishinda chama kingine kilichomo
madarakani. Kazi hii hurahisishwa zaidi kama mshindani mwenyewe
ameathiriwa na kanuni za uhuru au kile kiitwacho msimamo wa kupenda
mabadiliko, na kwa ajili ya fikira hiyo ataachia sehemu fulani ya
mamlaka yake.’ Fikiri hili kutoka kwenye Protokali ya Tano2: ‘Ili kuweza kuwa na udhibiti wa maoni ya watu, kwanza ni lazima
kuyachanganya kwa kuingiza maoni kutoka pande nyingi zinazopingana
zenyewe, hii ni siri ya kwanza. Siri ya pili inayo mpango wa kuongeza na
kutia mkazo kwenye dosari za tabia za watu na mtindo wa maisha, hivyo
kwamba hapana mtu atakayeweza kung’amua sababu ya vurugu hiyo, na kwa
sababu hiyo watu watashindwa kuelewana. Hatua hii pia itatufaa katika
kuzalisha kutokukubaliana kwenye vyama vyote vyenye nguvu ambavyo bado
vitakuwa havitaki kujisalimisha kwetu, na katika kukatisha tamaa
uanzishaji wote wa kibinafsi ambao kwa namna yoyote unaweza kuingilia
kati shughuli zetu.’ Na hili kutoka kwenye Protakali ya Kumi na Tatu: ‘…Na unaweza pia
kuona kwamba tunataka kuthibitisha, si kwa matendo yetu, lakini ni kwa
ajili ya maneno yetu yanayotolewa kuhusina na moja ya suala lingine.
Siku zote hutangaza hadharani kwamba sisi tunaongozwa katika hatua zetu
zote na matumaini na kusadikisha kwamba tunatoa huduma nzuri kwa
ujumla.’
Mbali ya vitu vinavyotarajiwa kufanywa, Protokali hutangaza vitu
vinavyofanywa na ambavyo vimefanywa. Tukiangalia dunia inayotuzunguka
leo inawezekana kuona masharti yaliyoanzishwa na mielekeo yenye nguvu
ambayo Protokali hudokeza …ukamilifu wa kutisha wa mpango wa dunia ambao
zinaufichua. Nukuu chache za jumla zitatoa mfano wa ishara za mafanikio
ya sasa kwenye utetezi wa nyaraka hizi na ili kwamba jambo liwekwe wazi
kwa msomaji maneno ya ufunguo yatasisitizwa. Chukua haya kutoka kwenye Protokali ya tisa: ‘Kwa kweli hakuna
vigingi dhidi yetu. Serikali yetu yenye nguvu kubwa inayo hadhi ya ziada
ya uhalali ambao kwamba inaweza kuitwa yenye udikteta wenye juhudi na
nguvu. Ninaweza kusema kwa kutambua kwamba kwa wakati huu sisi ndio
watunzi wa sheria. Tumeunda mahakama na maarifa ya sheria. Tunatawala
kwa dhamira yenye nguvu kwa sababu katika miliki yetu tunayo masalia ya
wakati fulani kilikuwa chama chenye nguvu, sasa kimekandamizwa na
sisi’. Na hii ni kutoka kwenye Protokali ya Nane: ‘Tutaizungusha Serikali yetu na wachumi wote wa dunia. Ni kwa sababu hii kwamba Sayansi ya uchumi ni somo kuu la maelekezo linalofundishwa na Wayahudi.
Tutazungukwa na kundi lote la wenye mabenki, umiliki wa viwanda, wenye
mitaji na hususan mamilionea, na kwa sababu na uhalisi, kila kitu
kitaamuliwa kwa kutumia tarakimu.’ Haya ni madai yenye nguvu, lakini hayana nguvu zaidi ya ukweli
unaoweza kukusanywa ili kuyaonesha. Hata hivyo, madai haya ni
utangulizi tu wa madai zaidi ambayo yanafanywa na kuwa sawa sambamba na
ukweli. Kwenye Protokali zote, kama ilivyo kwenye nukuu hii kutoka
kwenye Protokali ya Nane, sifa ya Wayahudi katika kufundisha uchumi wa
kisiasa inasisitizwa, na ukweli unashuhudia hilo. Wayahudi ni waandishi wakuu wa mawazo haya yasio ya kawaida ambayo
huongoza kundi la watu wenye fujo baada ya uchumi kushindikana, na pia
wao ni waalimu wakuu wa uchumi wa kisiasa kwenye vyuo vyetu vikuu,
waandishi wakuu wa vitabu rasimi vya somo hili ambavyo hushikilia
madarasa ya kihafidhi na kwenye ubunifu kwamba nadharia za uchumi ni
sheria za uchumi. Fikira na nadharia kama vitendea kazi vya kusambaratisha jamii ni
vitu vya kawaida kwa Myahudi wa chuo kikuu na Myahudi anayeunga mkono
mfumo wa umaksi. Wakati yote haya yatakapooneshwa kinaga ubaga, maoni ya
watu juu ya umuhimu wa uchumi wa kisomi na wa siasa kali unaweza
kubadilika. Na kama inavyodaiwa kwenye nukuu ambayo, imechukuliwa kutoka kwenye
Protokali ya Tisa, nguvu ya Kiyahudi hapa duniani leo hii inafanyiza
serikali kuu. Hili ni neno la Protokali yenyewe, na hakuna neno lingine
linalostahili kama hilo. Hakuna taifa linaloweza kupata mahitaji yake
yote, lakini mamlaka ya Kiyahudi duniani yaweza kupata kila kitu
yanachotaka, hata kama mahitaji yanazidi usawa wa wasio Wayahudi. ‘Sisi
ni watunzi wa sheria,’ Protokali zinasema, na ushawishi wa Kiyahudi
umekuwa watengenezaji wa sheria kwa kiwango kikubwa zaidi kuliko yeyote
lakini mabingwa wanatambua. Katika miongo iliyopita mamlaka ya kimataifa ya Kiyahudi imetawala sana dunia3.
Popote ambapo mielekeo ya Kiyahudi huruhisiwa kufanya kazi bila
kizuizi, matokeo yasiyo ‘Uamerika’, au ‘Uanglikana’ wala utaifa wowote
wa dhahiri, bali ni kurudisha utawala wenye nguvu kwa wenyewe, kwenye
‘Uyahudi’ muhimu.
Hii inatoka kwenye Protokali ya kumi na saba, itakuwa ni yenye
kuvutia kwa kiasi kikubwa, pengine kwa hao viongozi wa dini ambao
wanashughulika na wanataaluma wa Kiyahudi katika kuleta aina ya
ushirikiano wa kidini: ‘Kwa kipindi kirefu tumechukuwa tahadhari nzuri katika kuwafedhehesha
viongozi wa dini na wasio Wayahudi na hapo hapo tumeharibu ujumbe wao
ambao unaweza kutuzuia sisi kwa kiasi fulani. Ushawishi wao kwa watu
unapungua kila siku. Uhuru wa dhamira umetangazwa kila mahali. Kwa hiyo,
ni suala la muda tu ambapo mpasuko kamili wa dini ya Kikristo
utatokea.’ Ibara pekee kwenye Protokali hii inadai kwa ajili ya Wayahudi ustadi maalum katika sanaa ya Matusi4. ‘Vyombo vyetu vya habari vya kisasa vitafichua mambo ya kidini na
kutokuwa na uwezo kwa wasio Wayahudi, kila mara hutumia maneno ya matusi
yanayokaribia fedheha, kitivo cha ajira ambacho kinajulikana sana kwa
jamii yetu.’ Na hii inatoka kwenye Protokali ya kumi na Nane: ‘Chini ya ushawishi
wetu utekelezaji wa sheria za wasio Wayahudi umepunguzwa sana. Heshima
ya sheria inahujumiwa na tafsiri ya wapenda mabadiliko ambayo
tumeiwasilisha katika eneo hili: Mahakama huamua kama tunavyotaka, hata
katika kesi muhimu sana ambamo zinahusishwa kanuni za msingi au masuala
ya kisiasa, huyaangalia katika hali ambayo tunayowasilisha kwa utawala
wa wasio Wayahudi kwa njia ya mawakala ambao hatuna uhusiano wowote nao
kwa kupitia maoni ya magazeti na mikondo mingine.’ Madai ya udhibiti wa vyombo vya habari ni mengi sana. Hapa kuna usemi wa msisitizo kutoka kwenye Protokali ya Kumi na Nne: ‘Kwenye nchi ziitwazo zilizoendelea, tumetengeneza fasihi ya
kipumbavu, chafu na ya kuchukiza. Kwa muda mfupi baada ya kuingia kwetu
kwenye mamlaka ya utawala tutatia moyo kuwepo kwa fasihi ya aina hiyo
ili kwamba inaweza kuonesha faraja kubwa ikilinganishwa na matangazo
yaliyotamkwa au kuandikwa ambayo yatatoka kwetu.’ Na kwenye Protokali ya Kumi na mbili: ‘Tumepata (udhibiti huu wa
vyombo vya habari) katika wakati huu kwa kiasi kwamba habari zote
hupokelewa kwa njia ya mawakala kadhaa ambamo huwekwa pamoja kutoka
sehemu nyingi za dunia. Halafu mawakala hawa kwa nia na madhumuni yote
watakuwa taasisi zetu na kuchapisha tu habari tunazotaka zichapishwe’. Hii inatoka kwenye Protokali ya Saba iliyo na somo hilo hilo: ‘Lazima
tuzilazimishe serikali za wasio Wayahudi kuchukua hatua ambazo
zitatangaza mpango wetu unaofahamika kwa mapana, ambao tayari unakaribia
lengo lake la ushindi kwa kukubali kuhimili shinikizo la maoni ya watu
yaliyochochewa, mpango ambao umefanywa na sisi kwa msaada wa kile
kiitwacho ‘mamlaka makubwa ya vyombo vya habari’. Pamoja na tofauti
chache ambazo si za kutiliwa maanani, tayari tunayo katika milki yetu.’ Turudie tena kwenye Protokali ya kumi na mbili ‘Kama tayari tumeweza
kutawala akili za jamii ya watu wasio Wayahudi kufikia kiwango hicho
kwamba takriban wote wanaona mambo ya ulimwengu kwa vioo vya rangi vya
mawani ambazo tumeziweka machoni mwao, na kama sasa hakuna hata serikali
moja ambayo imeweka vigingi dhidi yetu kuhusu sisi kupata kile ambacho
kwa upumbavu wa wasio Wayahudi huitwa siri za serikali, itakuwaje basi
pale ambapo sisi tutakuwa mabwana wa dunia wanaotambulika kwa njia ya
mtu wetu mtawala wa dunia? Taifa la Kiyahudi ndilo tu taifa ambalo linamiliki siri za watu
wengine wote. Ukweli kwamba wanaweza kupata chochote wanachotaka wakati
wanapotaka ndilo jambo la muhimu – kama nyaraka nyingi za siri
zinavyoweza kushahidilia kama zingeweza, na watunzaji wengi wa nyaraka
za siri wangesema kama wangeweza. Diplomasia ya kweli ya siri ya dunia ni ile ambayo huwapa kile
kiitwacho siri za dunia kwa watu wachache ambao ni watu wa jamii moja;
hakuna serikali hapa duniani ambayo inawahudumia watu wake kwa
ukamilifu kama ilivyo ya kwetu hivi sasa.
Protokali hazifikirii mtawanyiko wa Wayahudi kwenda nchi za nje hapa
duniani kuwa ni janga lakini ni kama mpango wa bahati njema ambao kwawo
mpango wa dunia unaweza kutekelezwa kwa urahisi zaidi, kama yaonavyo
maneno haya ya Protokali ya kumi na moja: ‘Mungu alitupatia sisi watu wake watueule mtawanyiko, kama baraka, na
hili ambalo limeonekana kwa wote kuwa ni udhaifu wetu ndio imekuwa
nguvu yetu yote. Sasa umetuleta kwenye kilele cha utawala wa dunia.’ Madai ya ufanikishaji ambayo yamewekwa kwenye Protokali ya Tisa
yangekuwa mengi mno kwa maneno kama hayangekuwa mengi mno kwa
kutambulika kwa kuonekana, lakini kuna mahali ambapo neno na uhalisi
hukutana na kulingana: ‘Ili taasisi za wasio Wayahudi zisiharibiwe kabla ya wakati mwafaka,
tumeweka mikono yetu juu ya taasisi hizo, na tumekwaruza chimbuko la
taratibu zao. Kabla yake zilikuwa katika mpango kamili na haki, lakini
badala yao tumeweka uendeshaji wa wapenda mabadiliko waliovurugikiwa na
walio madhalimu. Tumevuruga sayansi na falsafa ya sheria za binadamu, haki kamili za
uraia zinazotolewa na nchi, vyombo vya habari, uhuru wa mtu binafsi, na
muhimu zaidi ya yote ni elimu na utamaduni, ambayo ndio kiini cha uhuru
wa kuwepo.’ ‘Tumewapotosha, tumewapumbaza na kuwakatisha tamaa vijana wa wasio
Wayahudi kwa njia ya elimu katika kanuni na nadharia ambazo kwetu ni
uwongo wa wazi, lakini ambazo tumezitia msukumo juu ya sheria
zilizopobila mabadiliko halisi, lakini kwa kuzibadili kwa njia ya
tafsiri za kupingana tumetengeneza kitu cha ajabu sana katika njia ya
matokeo.’ Kila mtu anajua kwamba licha ya ukweli kwamba hewa kamwe haikuwa
imejaa nadharia za uhuru na matangazo ya kishenzi ya ‘haki’, kumekuwa na
upunguzaji madhubuti wa ‘uhuru wa mtu binafsi’. Badala ya
kustaarabika, watu chini ya mbinu ya misemo ya kisoshalisti wameletwa
kwenye kifungo wasichokizoea kwenye dola na sheria za kila aina
zinazingira uhuru wa watu usio na madhara. Uelekeo madhubuti kwenye mfumo maalum, kila awamu ya mwelekeo
iliyotegemezwa juu ya baadhi ya ‘kanuni’ zilizotajwa za kielimu sana,
zimeingia ndani, na cha kushangaza zaidi, mchunguzi anapofuatilia njia
yake kuelekea katikati ya mamlaka ya makundi haya kwa ajili ya mlingano
wa maisha ya watu huwakuta Wayahudi tayari wanayo mamlaka!
Mbinu ambayo kwayo Protokali hufanyakazi ya kuvunja jamii inaonekana
wazi. Kueleweka kwa mbinu ni lazima kama mtu anataka kuona maana ya
mawimbi na kingamano, mawimbi ambayo hufanya mchanganyiko usio na
matumaini kabisa katika muda huu wa sasa. Watu ambao wamechanganyikiwa na kukatishwa tamaa na sauti tofauti
tofauti na nadharia zisizopatana za leo, kila mojawapo huonekana yenye
kukubali na kuleta matumaini, wanaweza kuona ishara ya wazi kwenye
thamani ya sauti na maana ya nadharia kama wanaelewa kwamba
kuchanganyikiwa kwao na kukatishwa tamaa humo ndimo lililomo lengo
linalotafutwa. Kutokuwa na uhakika, kusitasita, kutokuwa na matumaini na hofu ni
shauku ambayo kwayo kila mpango wenye matumaini unaotoa ufumbuzi
unashikwa, haya ndio majibu ambayo mpango ulioelezewa kwenye Protokali
unalenga kutengeneza. Sharti ni uthibitisho wenye kuleta matokeo ya
mpango wenyewe. Ni mbinu inayochukua muda mrefu, na Protokali hutangaza kwamba
imechukua muda, kwa hakika kwa karne nyingi. Wanafunzi wa jambo hili
huona mpango unaofanana wa Protokali uliotangazwa na kushughulikiwa na
jamii ya Wayahudi, tangu karne ya kwanza na kuendelea. Imechukua miaka 1900 kuifikisha Ulaya kwenye kiwango chake cha
kutiishwa – utiishaji wenye ghasia kwenye baadhi ya nchi, utiishaji wa
kisiasa kwenye baadhi ya nchi, utiishaji wa kiuchumi kwenye nchi zote za
Ulaya – lakini nchini Marekani mpango huo huo ukiwa na kiwango
kinachokaribiana sana katika kufuzu umehitaji miaka 50 tu! Kituo cha
Kiyahudi Marekani, na nguvu ya uwezo wa kushawishi iliyotumika, mkutano
wa amani kuharakisha mamlaka ya Kiyahudi kwa usalama zaidi katika
Ulaya, ilikuwa nguvu ya ushawishi ya Marekani iliyotumiwa kwa amri ya
shinikizo kubwa la Wayahudi ambalo lililetwa kutoka Marekani kwa
madhumuni hayo. Na shughuli hizi hazikwishia kwenye mkutano wa amani. Mbinu yote ya Protokali inaweza kuelezewa kwa neno moja – Uvunjikaji.
Kuharibu kile ambacho kimetengenezwa, kutengenezwa kwa kitu cha muda kwa
muda mrefu na kisicho na matumaini ambamo majaribio kwenye kujenga tena
yatachanganywa, na kuchakaa polepole kwa maoni ya watu na kujiamini kwa
watu, hadi hapo hao wanaosimama nje ya vurugu zilizotengenezwa
watachomeka mkono wao wenye nguvu na mtulivu ili kukamata udhibiti – huu
ndio mwenendo wa mbinu yote. Protokali zimetangaza bayana kwamba ni njia ya seti za fikira ambazo
zimezunguka ‘demokrasia’, kwamba ushindi wao wa kwanza juu ya maoni ya
watu ulipatikana. Fikira ni silaha. Na ili iwe silaha lazima iwe fikira
inayotofautiana na mwelekeo wa kawaida wa maisha. Lazima iwe nadharia
inayokinzana na ukweli wa maisha. Na hakuna nadharia inayokinzana namna
hiyo inayoweza kutarijiwa kusimika mizizi na kuwa kipengele cha
kutawala, isipokuwa kivutie akili kuwa kinafaa, kinatia nguvu na kizuri.
Mara nyingi ukweli huonekana haufai. Mara nyingi ukweli hutia huzuni, wakati mwingine ukweli huonekana
huzuni, wakati mwingine huonekana kama uovu, lakini ukweli una manufaa
ya umilele, huu ni ukweli, na chochote kilichojengwa juu yake wala
hakileti ama kushindwa na kuchanganyikiwa. Hatua ya kwanza haina
udhibiti wa maoni ya watu, lakini hutoa mwelekeo kwenda huko inakofaa
kufahamu kwamba ni upandikizaji huu wa ‘sumu ya wapenda mabadiliko’
kama Protokali zinavyotaja, ambayo katika mpangilio hutenguliwa kwenye
nyaraka hizo. Inayofuata baada ya hiyo Protokali inasema: ‘Ili kuweza kupata udhibiti wa maoni ya watu, kwanza lazima uchanganye’. Ukweli, ni ukweli haiwezekani kuuchanganya, lakini huu udanganyifu wa
kuvutia watu wapenda mapenzi ambao umesambazwa kwa kupandikizwa na
ambao unakomaa haraka chini ya malezi ya Kiyahudi nchini Marekani kuliko
hata ulivyofanya Ulaya, huchanganywa kwa urahisi kwa sababu wenyewe si
ukweli. Ni kosa, na kosa lina aina nyingi zipatazo elfu moja. Chukua taifa, chama, Jiji ni mkusanyiko ambamo sumu ya wapenda
mabadiliko imepandwa na inaweza kugawa katika vikundi vidogo vingi
kufuatana na wingi wa watu binafsi kwa kusambaza kwao mabadiliko fulani
ya fikira iliyo chimbuko. Hicho ni kipande cha mkakati kijulikanacho
sana kwenye nguvu zinazodhibiti maoni ya umma kwa siri. Theodor Herzl, Myahudi maarufu, mtu ambaye uoni wake wa mambo yajayo
ulikuwa mpana kuliko mtawala yeyote wa zama za leo na ambaye mpango
wake ulikwenda sambamba na Protokali, alijua hili miaka mingi iliyopita
aliposema kwamba serikali ya Kizayuni (fumbo la ‘Kiyahudi’) ingekuja
kabla ya serikali ya kisoshalisti, alijua ni kwa mlolongo wa migawanyiko
isiyo na mwisho ya ‘kupenda mabadiliko’ ambayo yeye na wale
waliomtangulia walipenda kwamba ingewekewa mipaka na kulemazwa. Mchakato ambamo wasio Wayahudi wote wamekuwa wahanga, lakini kamwe si
Wayahudi – kamwe si Wayahudi! – ni hivi tu: Kwanza, kutengeneza fikra
‘kukubali mawazo ya wengine.’ Huo ni msemo ambao hujitokeza katika kila
ulalamikaji wa Myahudi dhidi ya kutajwa hadharani kwa Myahudi na
shutuma zake za Mpango wa Ulimwengu: ‘Tulidhani ulikuwa mtu unayekubali
mawazo ya wengine’. Ni aina ya neno muhimu, dalili ya hali ya akili ambayo kwayo
inatakiwa wasio Wayahudi wawekwe humo. Ni hali ya uvumilivu usio imara.
Hali ya akili inayotamka misemo isiyo na maana kuhusu uhuru, misemo
inayofanya kazi kama bangi kwenye akili na dhamira na ambayo huruhusu
aina zote za vitu hufanywa kwa kufichwa. Msemo, kauli mbiu, ni silaha ya kutegemewa sana ya Kiyahudi (‘Wakati
wote watu wamekubali maneno badala ya vitendo’ – Protokoli ya 5) ukweli
uliopo kwenye msemo, Protokali zinakiri wazi kwamba haupo. Watu huzaliwa waumini. kwa muda fulani wanaweza kuamini katika
‘kukubali mawazo ya wengine’ na chini ya shinikizo la kuhofisha la
kijamii ambalo limewekwa kwa ajili ya upendeleo wake kwa wazi wataunga
mkono. Lakini ni ya juu juu mno kuweza kuridhisha mizizi ya maisha inayokua,
lazima waamini kwa kina sana kuhusu kitu. Kwa uthibitisho wa hili
angalia nguvu isiyokanushika ya imani za kienyeji ambazo hushikiliwa na
watu ambao wanao uhuru wa kiwango cha juu wa kiroho, huenda chini hadi
kwenye mambo hayo ambayo yamekatazwa ambayo wakati fulani hugusa
mahangaiko ya Wayahudi, hawa ni ‘watu wenye fikira finyu.’ Lakini wengine huona ni fursa nzuri zaidi kuziendeleza idara hizo
zenye matumaini ya njia kuu ambamo hapatakuwemo na migongano ya mawazo
muhimu, hapatakuwepo na nafasi ya lawama ya ‘kutokuvumiliana’; kwa ufupi
wanahamisha uwezo wao wote wa kutafakari kwenye hali halisi ya maisha,
hata kama ilivyoandikwa kwenye Protokali – ‘Kupotosha fikira za wasio
Wayahudi na uchunguzi wa wasio Wayahudi, maslahi lazima yapelekwe upande
wa viwanda na biashara.’ Ni upotoshaji huu kwenye msingi wa wayakinifu
ambao unazipatia Protokali, na vivyo hivyo watangazaji uwongo wa
Kiyahudi, mshiko wao mzuri sana. Tafakari yenye mawazo mapana inayaacha
mambo muhimu mahututi na haraka hushukia ‘tafakuri ya uyakinifu’. Ndani
ya eneo hili la chini migongano yote inayohuzunisha dunia huonekana
humo. Ina maana, kama kila kitu kuhusu sisi kinavyoonesha, umalaya wa
huduma ili kupata faida na hatima ya kupotea kwa faida, maana yake ni
kwamba usanifu wa kiwango cha juu wa uendeshaji hutenguka na kuwa
unyonyaji. Maana yake ni mkanganyiko wa kizembe miongoni mwa mameneja
na vurugu za hatari miongoni mwa wafanyakazi. Lakini inamaanisha kitu kibaya zaidi, maana yake ni kuigawa jamii ya
wasio Wayahudi. Si mgawanyiko kati ya ‘Mtaji’ na ‘Wafanyakazi’ lakini ni
mgawanyiko kati ya wasio Wayahudi katika pande zote mbili za utaratibu
wa ufanyaji kazi, kama ambavyo Protokali zinathibitisha: ‘Ili kufanya
iwezekane kwa ajili ya uhuru waziwazi kuchanguka na kuharibu jamii ya
wasio Wayahudi, viwanda lazima viwekwe kwenye msingi wa ulanguzi.’ Kwa mtaji wa Kiyahudi katika upande mmoja wa utaratibu wa kazi wa
wasio Wayahudi ni kukaza nati za wazalishaji bidhaa, na kwa wachochezi
wa Kiyahudi na waharibifu na wala njama kwa upande mwingine wa utaratibu
wa kazi wa wasio Wayahudi ni kuweka nati kwa wafanyakazi, tunayo hali
ambayo kwamba mameneja wa dunia wa mpango wa Protokali lazima watakuwa
wameridhika kwa kiasi kikubwa sana. Tazama Protokali ya 9: ‘Tungeweza kuogopa nguvu ya pamoja ya uoni wa wasio Wayahudi ya mtazamo wa mbali pamoja na nguvu ya kibubusa ya umma, lakini
tumechukua hatua zote dhidi ya uwezekano wa matukio yasiyotarajiwa kwa
kunyanyua ukuta wa uadui baina ya nguvu hizi mbili. Hivyo,
nguvu ya kibubusa ya watu hutuunga mkono sisi. Na sisi peke yetu, ndio
tutakaotoa huduma ya kuwa viongozi wao. Kwa kawaida tutazielekeza nguvu
zao ili kufanikisha fikira zetu.’ Dalili ya kwamba wanaridhika sana ni kwamba si tu kwamba wanafanya
kitu chochote kuleta nafuu kwenye hali ya dunia, lakini kwa dhahiri wako
radhi kuona inafanywa kuwa mbaya zaidi. Ufukara ambao wamepangiwa
(isipokuwa unyonge wa wasio Wayahudi mbele ya mamlaka ya Kiyahudi, ya
juu na chini, ipate nguvu mpya), utaifikisha Marekani kwenye ukingo,
kama si ng’ambo ya msitari wenyewe wa Umaksisti. Wayahudi wanajua mbinu yote ya upungufu bandia na kupanda kwa bei.
Ilitekelezwa kwenye mapinduzi ya Ufaransa na nchini Urusi. Dalili zote
za hali hiyo zimo nchini hapa pia. Si vigumu kuona nasaba ya fikira za Kiyahudi za kupenda mabadiliko
kutoka kwenye chimbuko lao hadi kwenye athari zao kwa maisha ya wasio
Wayahudi. Mkanganyiko ulipolengwa ni hapa! utatanishi unaainisha hali
yote ya akili ya watu leo hii. Hawajui waamini nini. Kwanza hupewa seti moja ya mambo, halafu
nyingine. Kwanza maelezo ya aina moja ya masharti hutolewa kwao, kisha
mengine. Ukweli upungufu (wa bidhaa) unakuwa mkali: Lipo soko lote lililojaa
maelezo ambayo hayaelezi lolote, isipokuwa huzidisha utatanishi.
Ushirikiano dhidi ya Dola la Kiislam: mataifa ya Ghuba yakutana
Mkutano wenye lengo la kuunda jeshi la pamoja dhidi ya Dola la Kiislam unafanyika katika mji wa Djeddah nchini Saudia Arabia.
Barack Obama alitangaza hivi karibuni kwamba atahakikisha
amelisambaratisha Dola la Kiislam ikiwa nchini Iraq au Syria, baada ya
Marekani kuuungwa mkono na Saudia Arabia, moja ya mataifa ya kiarabu.
Mchakao ambao umeanzishwa na Marekani ni kushawishi mataifa
mengine ya kiarabu kutoa ushiriki wao katika vita hivyo. Hiyo ni moja ya
agenda ya mazungumzo yanayowakutanisha alhamisi wiki hii viongozi wa
mataifa ya kiarabu katika mji wa Djeddah nchini Saudia Arabia. Waziri wa mambo ya nje wa Marekani, John Kerry atakutana na wenzaki
kutoka mataifa ya Ghuba, lakini pia atakutana na mawaziri wa mambo ya
nje wa Jordan, Misri, Uturuki na Liban. Swali ni kujua iwapo mataifa
yote hayo yanaunga mkono kushambuliwa kwa Dola la Kiislam. Baada ya kukubali kutoa nafasi ya mafunzo kwa waasi wa Syria, Saudia
Arabia ina mchango mkubwa kwa kuyashawishi matiafa mengine ya kiarabu
kuunga mkono mashambulizi dhidi ya Dola la Kiislam. Hayo ni baada ya
kujitokeza mvutano kati ya Doha, Riyadh na Abou Dhabi kuhusu vita hivyo. Qatar imekua ikishukiwa kufadhili na mataifa jirani pamoja na mataifa
ya magharibi kwamba imekua ikifadhili makundi ya kiislam. Rais wa
Marekani, Barack Obama katika hotuba yake ya hivi karibuni, alikemea
tabia hiyo ya Qatar. Marekani imekua ikitaka kuyashirikisha mataifa yote Ghoba ili yaunge
mkono mpango wake wa kushirikiana kwa kupambana na wapiganaji wa Dola la
Kiislam.
Waziri
wa Marekani mwenye dhamana ya mambo ya nje, John Kerry (kushoto),
akikutana kwa mazungumzo na rais wa Iraq, Fouad Massoum mjini
Baghdad,Septemba 09 mwaka 2014.
The part time Blogger love to blog on various categories like Web Development, SEO Guide, Tips and Tricks, Android Stuff, etc including Linux Hacking Tricks and tips. A Blogger Template Designer; designed many popular themes.
Chapisha Maoni