Unknown Unknown Author
Title: WATU SITA WAFARIKI KWA AJARI ENEO LA MAKONGO DAR
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Jumamosi21/06/2014    WATU SITA WAPOTEZA MAISHA ENEO LA MAKONGO 8:16 AM   HABARI KITAIFA   No comments  Watu...

Jumamosi21/06/2014




  

WATU SITA WAPOTEZA MAISHA ENEO LA MAKONGO

 Watu zaidi ya 6 wamepoteza maisha papo hapo na wengine 12 kujeruhiwa vibaya  kwenye ajali ya Daladala inayofanya safari zake kati ya Ubungo - Tegeta jijini Dar mchana huu,baada ya kushindwa maarifa ya kiudereva kwa Dereva wa daladala hilo hali iliyompelekea dereva huyo kuhama mpaka upande wa pili wa barabara na kulivaa lori kwa nyuma.Chanzo cha ajali hiyo inaelezwa kuwa ni mwendo kasi. 

Ajali hiyo inadaiwa kuhusisha magari manne yaliyo gongana huku Daladala hilo ndilo likiwa limep[ata madhara makubwa.
 Hili ndilo lori lililokuwa likipita katika upande huo wa Barabara na kufatwa na daladala hiyo.

About Author

Advertisement

Chapisha Maoni

 
Top