NEWSROOM NEWSROOM Author
Title: PICHAZ 8: Mafuriko kijiji cha Changalawe Mikumi yamemfanya Prof Jay kwenda kuwatembelea wahanga
Author: NEWSROOM
Rating 5 of 5 Des:
HOME Mbunge wa Jimbo la Mikumi Joseph Haule a.ka Profesa Jay  April 25 20...
HOME


Mbunge wa Jimbo la Mikumi Joseph Haule a.ka Profesa Jay April 25 2016 siku moja baada ya kupeleka msaada wa mabomba Ruaha amelazimika kwenda kuwatembelea wanakijiji wa Changalawe kata ya Masanze ambao wamepata mafuriko na baadhi ya mali zao kwenda na maji.
1
Prof Jay ameenda kuwatembelea wakazi hao ambao mazao yao yameenda na maji mashambani pamoja na nyumba zao kusombwa na mafuriko, mbunge huyo wa Mikumi hakuishia kutoa pole tu lakini amehaidi kuwapelekea msaada ili kuwapunguzia matatizo yaliojitokeza katika mafuriko hayo.
2
3
5
6,
cvg
,kkk

About Author

Advertisement

Chapisha Maoni

 
Top