Unknown Unknown Author
Title: USIYOYAJUA KUHUSU WANAOTUMIA MKONO WA KUSHOTO
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
HOME NEWS ROOM KATI ya vitu au jambo ambalo huwashinda watu wengi kuamini na hata mara nyingine kudiriki kulitungia uwongo ni ju...
HOME

NEWS ROOM


KATI ya vitu au jambo ambalo huwashinda watu wengi kuamini na hata mara nyingine kudiriki kulitungia uwongo ni juu ya matumizi ya mkono wa kushoto.

Asilimia kubwa ya watu hawaamini kuwa kuna mtu anayeweza kutumia mkono wa kushoto kutekeleza baadhi ya shughuli zake za kia siku tena kwa kiwango kikubwa

Wengi hujaribu kuhisi kuwa pengine watu wanaotumia mkono wa kushoto kwa kufanya shughuli zao huwa wanajifunza matumizi ya mkono huo,wengine huwa wanafika mbali na kujaribu kuhisi huenda labda mtu huyo atakuwa ameumia mkono wa kulia hivyo ameamua kutumia mkono wa kushoto.U.S. President Barack Obama signs his first act as president in WashingtonSina shaka nawe utakuwa unayajua mengi sana juu ya mkono wa kushoto na kazi zake,lakini leo nitoshe kukuletea mambo 11 ambayo hukuwa unayajua juu ya mkono wa kushoto.

1,Asilimia 10 ya wtu duniani kote wanatumia mkono wa kushoto,

2,Baadhi ya watu maarufu duniani ambao hutumia au walitumia mkono wa kushoto kufanya shughuli zao ni pamoja na Napoleon,Da Vinci,Isack Newton,Bill Gates,Oprah,Barack Obama na Jimi Hendrix.kushoto 13.Inasemekana asilimia kubwa ya watu wanaotumia mkono wa kushoto huwa na IQS 140 zaidi ya wanaotumia mkono wa kulia,hali kama hiyo ipo kwa wacheza soka pia wanaotumia mguu wa kushoto huwa na madhara makubwa uwanjanai kuliko ambao wanatumia mguu wa kulia.

4,Asilimia 40 ya watu waliozaliwa na magonjwa ya afya ya mwili au akili huwa wanatumia mkono wa kushoto

5,Kila tarehe 13 ya mwezi wa nane huazimishwa siku ya matumizi ya mkono duniani kuanzia mwaka 1996.

6.watu wanaotumia mkono wa kulia kula chakula hupendelea kutafuna chakula hicho kwa meno ya kulia,wakati wanaotumia mkono wa kushoto pia hutumia meno ya kushoto kutafuna chakula

7,Zaidi ya watu 2500 wanaotumia mkono wa kushoto huuawa kila mwaka na watu wanaotumia mkono wa kulia kutokana na kutumia vifaa vya watu wa mkono wa kulia.

8,Mtoto anayekua hutumia mkono wa kushoto mara nyingi zaidi kuliko kawaida.

9,Asilimia 39 ya watu wanaojihusisha na mapenzi ya jinsi moja hupendelea kutumia mkono wa kushoto kuliko wa kulia.kushoto10.Watu wengi wanaotumia mkono wa kushoto hukabiliana na msongo mkubwa wa mawazo.

11.Watu wanaotumia mkono wa kushoto huingiza pesa nyingi zaiodi ya watu wanaotumia mkono wa kulia watafiti wamebaini.

About Author

Advertisement

Chapisha Maoni

 
Top