NEWSROOM NEWSROOM Author
Title: PICHA 14: Shilole na Vanessa walipokutana kwenye Stage Usiku wa May 29 2016 Club Billcanas
Author: NEWSROOM
Rating 5 of 5 Des:
HOME Huenda wewe ulikuwa ni moja kati ya watu waliokuwa wameshtushwa na taarifazilizokuwa zimeenea wiki mbili zilizopita kuwa  V...
HOME


Huenda wewe ulikuwa ni moja kati ya watu waliokuwa wameshtushwa na taarifazilizokuwa zimeenea wiki mbili zilizopita kuwa Vanessa Mdee na Shilole wana bifu, ukweli umejulikana usiku wa May 29 2016, kuwa haikuwa bifu bali ni promo ya show yao ya pamoja waliofanya usiku huo.
3X6A9861
Dakika chache kabla ya Show Vanessa Mdee akiwa backstage alinukuliwa akisema“Kiukweli haukuwa ugomvi bali tulijaribu kuwaonesha watu kuwa usiamini kila unachokiona kwenye mitandao, namuheshimu sana Shilole katika kazi zake, lakini baada ya sisi kufanya vile watu walionekana kama wanataka kuona sisi tukigombana”
3X6A9862
3X6A9876
3X6A9878
3X6A9879
3X6A9893
3X6A9894
3X6A9897
3X6A9898
3X6A9906
Vanessa alimsurprise Shilole On Stage kwa kumletea zawadi ya ugali kwenye stage
3X6A9914
3X6A9915
3X6A9919
HARMONIZE ALVYOMPAMDISHA MAMA YAKE KWENYE STAGE NA KUMTAMBULISHA WOLPER MTWARA


About Author

Advertisement

Chapisha Maoni

 
Top