HOME
DAR ES SALAAM
Ibara ndogo ya pili inasema mshahara
na malipo mengineyo yote ya Rais havitapunguzwa wakati Rais atakapokuwa
bado ameshika madaraka yake kwa mujibu wa masharti ya Katiba.
DAR ES SALAAM
Baada
ya vuta nikuvute juu ya suala la mshahara anaolipwa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli, na kuibuka hadharani
kutaja kiasi anacholipwa ambacho ni shilingi milioni 9.5 kwa mwezi.
Chapisha Maoni