What's New?

9:05 PM

NEWSROOM NEWSROOM Author
Title: Hispania imetangaza kikosi kitakachoshiriki EURO 2016, list ya mastaa walioachwa
Author: NEWSROOM
Rating 5 of 5 Des:
HOME Ba...
HOME





Bado zimebaki siku kadhaa kabla ya michuano ya mataifa ya Ulaya (EURO 2016) kuanza kuchezwa michuano ambayo hufanyika kila baada ya miaka 4, kwa mwaka 2016 michuano  hiyo inatarajiwa kufanyika Ufaransa, siku moja baada ya timu ya taifa ya Uingereza  kutangaza kikosi chake, Hispania wametangaza chao leo May 17 2016.
Hispania wametangaza kikosi cha wachezaji 25 lakini kuna list ya majina ya wachezaji kama Fernando Torres, Juan MataSanti Cazorla wa Arsenal na Hector Bellerin wameachwa lakini walikuwa wanatarajiwa kuwepo  katika list ya kikosi hicho cha Vicente del Bosque.
s
List ya majina ya wachezaji 25 walioitwa
17 May 2016

About Author

Advertisement

Chapisha Maoni

Emoticon
:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

 
Top